Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Nimesikia kwa mbali bahati bukuku akitumbuiza ndani ya kanisa la kkkt usharika wa Kiboriloni na nilipokwenda kuchungulia kwa ndani namuona kamanda mh Ndesa(MB), Owenya(MB), Lucy(MB) na comrade Mandara. Ndio najiuliza jimbo la Arumeru mashariki limefika hadi huku? Ama ni usharika wao mahala wanapoabudu kwa pamoja? Naomba Chadema mtoe ufafanuzi kwa uwepo wa hawa makamanda pamoja tafadhali.
.
.