Mjadala ulikua unahusu viwanda lakini naona umezungumzia mambo mengi sana kwa wakati mmoja.Hata tukihoji kama hajatekeleza tutamfanya nini wakati tume ya uchaguzi anateua yeye? Jeshi la polisi ndio hilo wengi wana vyeti fake kwa hiyo chochote wanachoambiwa ni lazima watekeleze bila kuhoji, yaani nifae kwa jua nikufae kwa mvua.
Hahaha Mtikila angesheanda kufungua kesi mahakamani siku nyingi ,R.I.P Mzee MtikilaNaam, mwenye macho na zone na mwenye masikio na asikie... Namkumbuka sana hayati mchungaji Christopher Mtikila...
Mjadala ulikua unahusu viwanda lakini naona umezungumzia mambo mengi sana kwa wakati mmoja.
Unatoka nje ya mada na kuanza kuanzisha mada yako ndogo..ambayo ndio pana zaidi kuliko hii ya viwanda tuliyokua tunajadili mwanzo.Mjadala huu ulikuwa hauhusu viwanda bali ni utawala wa madoido, huku kwenye viwanda ni sehemu ya ufafanuzi kulingana na mjadala ulivyokuwa unaendelea. Kwa hiyo hayo mengi unayosema wewe ni sehemu tu ya ufafanuzi wa utawala huo wa madoido.
Unatoka nje ya mada na kuanza kuanzisha mada yako ndogo..ambayo ndio pana zaidi kuliko hii ya viwanda tuliyokua tunajadili mwanzo.
Kauli hii inaweza kuwa na maana mbili au tatu hivi: 1) hakufaa kuwa raisi bali angeweza kubakia na uwaziri hasa wa wizara ya ujenzi. 2) hakufaa kuwa raisi bali angeweza tu kuwa waziri mkuu. 3) anahitaji kusimamiwa au kuwekewa gavana.Fredrick Sumaye alikiri JPM ni mtendaji mzuri, lakini akaonya, " huyu mtu anahitaji kuwa nyuma ya mtu, lazima awepo wa kumshika mkono". tahadhari hii ilimaanisha nini?
Dah, we ndo umeisha kweli kweli. Badala ya kujibu hoja unazungumzia mtu ambaye hata makala yake tajwa hujaisoma. Kweli kizazi kipya bado kinahitaji cha zamani. Yaani umechoka sana!Ulimwengu kaisha kabakiza hasira tu lazima akubali tu kwamba zama zao zimekwisha kabisa ni wakati wa kizazi kipya.
Ulimwengu ni kiungo mahiri wa wanafiki, miaka 10 yote ya JK alikuwa akiandika makala ndefu kuonyesha jinsi alivyoshindwa na kuwa ccm lzm iondolewe madarakani 2015.Katika makala iliyosomwa DW Ulimwengu amemsifia Magufuli kwa kuifumua bandari, TRA, kutimua wafanyakazi hewa, kurudisha heshima ofisi za umma. Lakini akasema serikali yoyote ingeweza kufanya hayo kama si chama hicho kutekwa mafidi...
Kwa upande wa wale wanaomkosoa, amesema wanaona ni mtu anayendesha nchi kwa madoido badala ya mfumo. Anasema kuzuia bunge live, kuchukua maamzi ya papo kwa papo, kutokubali kushauriwa na kwa sehemu fulani kudaiwa kutofuata sheria kwenye maamzi yake ni mambo yanayoongeza upinzani dhidi yake. Anasema miezi sita ya pili itaonyesha kama atashinda upinzani unaozidi kukua dhidi yake
Auze gazeti pesa iko wapi ya kununua hilo gazeti? nyie hizi shibe zenu kuna siku tutaheshimiana tu.Auze gazeti ajenge kiwanda..
Mjadala huu ulikuwa hauhusu viwanda bali ni utawala wa madoido, huku kwenye viwanda ni sehemu ya ufafanuzi kulingana na mjadala ulivyokuwa unaendelea. Kwa hiyo hayo mengi unayosema wewe ni sehemu tu ya ufafanuzi wa utawala huo wa madoido.