Umefanya lini huo utafiti?Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Ahaaa Jenista Mhagama,Huvi ni mbunge wa wapi?Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Unauliza ni Mbunge wa wapi Kisha unataja Jimbo lake! Hivi nyie Kuku msiokuwa na jinsia nliletwaje humu! KukuAhaaa Jenista Mhagama,Huvi ni mbunge wa wapi?
Naona ni Waziri miaka nenda rudi hatoki,Na sasa naona anamuandaa nasikia ndugu yake Jokate Mogelo arithi jimbo lake huko Pera Miho
Hata wale wanyaki ni pale walipoamua kustaafu tu mfano Prof Mark Mwandosya na mwenzake Prof homil Mwakyusa
Hata kule sumbawanga alikuwepo Mzee Paul kimiti na mwenzake Mzindakaya miaka nenda rudi
Madelu mganga wake bikizee mwenye titi moja na jicho mojaSijawahi kusikia wanyiramba kwamba ni maarufu kwa juju
Umekula lakini?Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Afu uchawi wao mkali hatali.....Toka lini mhaya akamiliki juju?
Huu utafiti sampuli yake ilipatikanaje?Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
ladies wana mabody makalSijawahi kusikia wanyiramba kwamba ni maarufu kwa juju
Tafuta maarifa namna ya kutoboa zaidi ya kutegemea teuzi za kisiasa!Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Wahaya gani hao? Byabato tu? Bashungwa ni Mnyambo.Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Siyo Mnyambo pure, Mnyambo na msukumaWahaya gani hao? Byabato tu? Bashungwa ni Mnyambo.