Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,496
- 37,789
Tunaambiwa Tanzania ina zaidi ya makabila 120 yenye Mila, tamaduni na desturi mbalimbali tofauti. Kwa bahati mbaya sijabahatika kufanya utafiti wa makabila hata 50 Kati ya hayo 120+.
Kwa vile humu JF naamini ina Wawakilishi wa makabila yote na hata toka nje ya Nchi, nisaidieni kulijua kabila hata moja àmbalo mgeni ukiwatembelea Kwa Muda hata wa wiki moja familia inalazimika kubadili kanuni zào ili ziendane na tabia yako wasikukwaze mgeni.
Yaani kama famili nzima inalazimika Kula pamoja saa 7 mchana basi wewe hata kama uko nyumba ya pili unacheza bao watakusubiri Hata ukirudi SAA 10 ndo chakula kiwekwe mezani.
Usiku hata ukirudi saa 7 umelewa shemeji yako ambaye ni Baba mwenye nyumba atakufungulia na kukupa pole huku akikuuliza kama hujajikwaa njiani au kushambuliwa na Wahuni?
Halafu masuala ya chakula gani kipikwe Kwa siku inabidi usubiriwe wewe uamke hata ukiamka saa 5 asubuhi sababu ya mning'inio utakuta hawajapika hata chai mpaka useme wewe kwanza?
Ni kabila gani kama lipo? Ni;
Wanyiha?
Wanyamwezi?
Wanyaturu?
Wandamba?
Wakurya?
Wasubi?
Waha?
Au
Wakonongo?
Wafipa?
Wanyantuzu?
Wajita?
Itakuwa ni;
Wakerewe?
Wahaya?
Wamwera?
Wangoni?
Au basi ni;
Wanyakyusa?
Wapangwa?
Wairaqwi?
Wanyiramba?
Washirazi?
Wahehe?
Ahhhh!
Wakinga?
Wachaga?
Basi labda ni!!
WAGOGO?
Yaani mgeni anakuja, Baba na mama na watoto wanaitana kutengua kanuni za familia ili kutomkwaza mgeni.
Wandewa
Nisaidieni ni kabila gani Wakulungwa?
Kwa vile humu JF naamini ina Wawakilishi wa makabila yote na hata toka nje ya Nchi, nisaidieni kulijua kabila hata moja àmbalo mgeni ukiwatembelea Kwa Muda hata wa wiki moja familia inalazimika kubadili kanuni zào ili ziendane na tabia yako wasikukwaze mgeni.
Yaani kama famili nzima inalazimika Kula pamoja saa 7 mchana basi wewe hata kama uko nyumba ya pili unacheza bao watakusubiri Hata ukirudi SAA 10 ndo chakula kiwekwe mezani.
Usiku hata ukirudi saa 7 umelewa shemeji yako ambaye ni Baba mwenye nyumba atakufungulia na kukupa pole huku akikuuliza kama hujajikwaa njiani au kushambuliwa na Wahuni?
Halafu masuala ya chakula gani kipikwe Kwa siku inabidi usubiriwe wewe uamke hata ukiamka saa 5 asubuhi sababu ya mning'inio utakuta hawajapika hata chai mpaka useme wewe kwanza?
Ni kabila gani kama lipo? Ni;
Wanyiha?
Wanyamwezi?
Wanyaturu?
Wandamba?
Wakurya?
Wasubi?
Waha?
Au
Wakonongo?
Wafipa?
Wanyantuzu?
Wajita?
Itakuwa ni;
Wakerewe?
Wahaya?
Wamwera?
Wangoni?
Au basi ni;
Wanyakyusa?
Wapangwa?
Wairaqwi?
Wanyiramba?
Washirazi?
Wahehe?
Ahhhh!
Wakinga?
Wachaga?
Basi labda ni!!
WAGOGO?
Yaani mgeni anakuja, Baba na mama na watoto wanaitana kutengua kanuni za familia ili kutomkwaza mgeni.
Wandewa
Nisaidieni ni kabila gani Wakulungwa?