Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Wairaqw ndio kabila pekee Tanzania lenye watu serious, hakuna mwiraqw Fisadi, hawajui kusema uongo, ni wapole lakini wapo serious na kazi, hawapendi kuonewa wala kuona mtu anaonewa, hawadanganyiki. Kama Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka basi itutumie vizuri kuongoza nchi.

Huo ndio ukweli, kama unabisha toa ushahidi wowote, mtu yoyote, kiongozi yoyote mwiraqw hata kama yupo chama cha magamba mwenye harufu ya ufisadi. Mtu akitoa ushahidi wa kutosha nafuta kauli yangu.
 
Sumaye, Merry nagu na yule balozi wa Tanzania nchini china halafu ni wabinafsi na wanafki sana kwao hawana maendeleo kabisa
 
Big up Iraqwian, watu safi, watu vichwa bright, watu makini, je kama siyo dr. Tlaa tungeujulia wapi huu ufisadi?
 
Sumaye, Merry nagu na yule balozi wa Tanzania nchini china halafu ni wabinafsi na wanafki sana kwao hawana maendeleo kabisa

Sumaye sio mwiraqw, Marry nagu sio Fisadi, Phillip Marmo sio Fisadi ila mambo ya kishirikina yaliyokuwa yanasababishwa na chama cha magamba ndio yalikuwa yanamsumbua.
 
Loh great thinker unaibuka na suala la ukabila!
You are also so biased " Wairaq ni kabila pekee Tanzania....."
Watanzania tufikirie utanzania wetu na siyo makabila yetu.

Kiongozi akiwa mzuri au akiwa na dosari tumzungumzie kama mtanzania
na si kabila lake
 
Wairaqw ndio kabila pekee Tanzania lenye watu serious, hakuna mwiraqw Fisadi, hawajui kusema uongo, ni wapole lakini wapo serious na kazi, hawapendi kuonewa wala kuona mtu anaonewa, hawadanganyiki. Kama Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka basi itutumie vizuri kuongoza nchi.

Dr Idrissa Rashid na Radar yake sijui yeye inelekea ni Mmbulu wa Kenya.
 
Wairaqw ndio kabila pekee Tanzania lenye watu serious, hakuna mwiraqw Fisadi, hawajui kusema uongo, ni wapole lakini wapo serious na kazi, hawapendi kuonewa wala kuona mtu anaonewa, hawadanganyiki. Kama Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka basi itutumie vizuri kuongoza nchi.

Kwa hili nakuuunga mkono, kweli Wairaqw wapo serious. Nimefanya nao kazi kwenye baadhi ya vijiji huko Mbulu, kweli ni waaminifu, lakini usiombe ukaonyesha kuwadharau ujue umeumia. Pili nawapongeza sana kwa usimamizi kwenye ujenzi wa shule za sekondari za kata, yaani ni za kiwango hakuna kuchakachua.
 
Nikweli kua hawa jamaa wako smart sana alakini hata kwa malaika wote wa mwenyezi MUNGU walikuepo pia ambao hawakua watiifu,so hao mnaesema ni wachafu kama yule marmo,ni sawa kabisa kwani alikua pale magogoni kwa kazi mbili tofauti alakini kubwa ni ile ya kumtafutia mzee maprofesor feki kama yule stiv ngonya ni,au maji mafupi mbunge wa kule maeneo ya coast.
 
Wengi wao wanauchu wa madaraka sana ukiwa nao ofisi moja kama wewe ni mkuu wake atakufitini tu.
Nimefanya nao kazi vitengo mbalimbali wana tabia za kufanana.
 
Wengi wao wanauchu wa madaraka sana ukiwa nao ofisi moja kama wewe ni mkuu wake atakufitini tu.
Nimefanya nao kazi vitengo mbalimbali wana tabia za kufanana.

Hao sio wairaqw, kuna jamii ambao tunafanana nao sana, sitaki niwataje, maana na wao wanapenda kujiita ni wairaqw, akiwemo na sumaye, nadhani we ndio uliofanya nao kazi.
 
jamaa kweli ni wachapa kazi ila wanadharau sana,alafu wanapenda kujifanya kila kitu wanajua na cha ziada wanafanya kazi kwa misifa ili bosi awasifie ila wanatabia yakujiona the best.tatizo lao kubwa sana bado wanawakeketa mabinti zao,that way binti wa kimbulu anakuwa hana hashki ya mapenzi,
 
kama wewe simamkabira una kasoro na uwezi kuleta maendeleo kwenu kama C. Msuya, Tanzania wote wakabira na wadini kama unabishi muulize Luhanjo,
 
Back
Top Bottom