Mbege ya Leo itakuwa na msesewe wa kutosha
Amina.
He he he
Mbege ya Leo itakuwa na msesewe wa kutosha
Amina.
Umenena vemaWachagga ni wachapa kazi kabla hata ya wazungu na waarabu kuja.
Ni kweli hali ya kiuchumi ya wachagga kwa sasa sio nzuri. Hali hii mbaya ilianza baada ya vita vya Uganda, ilizidishwa na economic crisis ya miaka ya mwanzo ya 1980s. Wimbi la privatisation na kurekebisha mashirika ya umma liliwaumiza pia, kwani wafanyakazi wengi wachagga walipunguzwa kazini. Kuporomoka kwa bei ya kahawa miaka ya 1980s. Gonjwa la ukimwi liliwaumiza sana wachagga pia. Muamko wa kimaisha wa mikoa mingi ya Tanzania vile vile imetoa ushindani wa kiuchumi kwa wachagga. kumbuka ni haki, kwa mikoa yote kuamka kimaisha.
Baada ya uchaguzi mkuu wa 1995 wachagga wengi waliondolewa kwenye system ya ndani, ingawa civil servants wachagga bado walikuweko.
Matatizo ya kiuchumi ya sasa ya nchi yalianza baada 2010. Baada ya 2010 serikali ndio once again ikaanza kukopa madeni ya nje kwa riba za kibiashara, hususan baada ya wafadhili kupunguza misaada kwasababu ya scandals zilizotokea wakati huo.
Kwa sasa familia nyingi za wachagga zimeyumba kiuchumi, ingawa wachagga wengi bado wanaweza kuafford vitu vya msingi. Bottom 1/3 wameyumba sana, 1/3 inayofuata wameyumba wastani. 1/3 ya juu wameyumba kidogo. Theluthi ya hiyo 1/3 ya juu, yaani 1/9 top economic group ya wachagga ndio bado wako vizuri. Wachagga vijana wasio na ajira, wachagga wenye ajira zenye mishahara midogo, wachagga wenye ardhi kidogo ya kilimo, wachagga wenye biashara ambazo hazipati faida, pamoja na wachagga wazee wengi wao wameyumba pia. Wachagga ambao wako vizuri ni wale wenye ajira nzuri zenye mishahara mizuri, wenye biashara ambazo bado zinapata faida, wenye ardhi kubwa ya kilimo, na shughuli nyingine ambazo zinaenda vizuri. Familia zilizoyumba kiuchumi mara nyingi huwa zinakuwa na mivutano ya ndani kwa ndani.
Uzi huu unawatia moyo wachagga wakumbuke nguvu yao ya mafanikio inatoka wapi. Na huenda original plan ya Mungu wa Israel ilikua Tanzania iongozwe na wachagga waadilifu tokea uhuru. Ila aliruhusu mambo yawe yalivyokuwa ili wachagga watakapo ongoza nchi makabila mengine yasinung'unike. Na vile vile watakapo ongoza nchi (au wasipo ongoza nchi) waishi kwa kumtegemea Mungu. Kwahiyo ni vizuri watu wakajua kwamba kuwasambaratisha wachagga waadilifu kunaweza kusimfurahishe Mungu wa Israel. Wachagga wawe na subira kwani kipindi cha miaka 70 baada ya uhuru kikija (mwaka 2031) basi hali ya wachagga inaweza ikaanza kua nzuri sana kwa kipindi kirefu. Kuna uwezekano pia hali hiyo isi improve. Pia kuna uwezekano baada ya 2031 akaja Rais mprotestanti atakaependa wachagga, kuna uwezekano hili lisitokee pia.
Pamoja na maelezo hayo marefu kuna wachagga wengi ambao Bwana Yesu anawapigania na kuwasaidia wafanikiwe kimaisha hata kwenye vipindi vigumu. Bwana Yesu pia anagusa mioyo ya watu wa makabila mengine na kuwafanya washirikiane vizuri na wachagga waadilifu. Also indeed ukiweza kuangalia mioyo ya watanzania waadilifu utaona wengi wao kisiri siri wana amini akipatikana Rais mchagga muadilifu, mchapa kazi, mwenye exposure, mwenye akili na ubunifu, nchi itapiga hatua kubwa sana kimaisha na kimaendeleo.
NB: Matatizo mengi yaliyo tajwa hapo juu yamewapata pia watanzania wengine. Also Bwana Yesu anawapenda watu wote.
.Kumbe huu utani ulianza toka wakati wa ukoloni!
Mkuu ina maana Wairaqw nio Wambulu na pia ni Wadatooga?Mabinti wa Kidatooga (Wairaqw)
Nipe mimi mkuu binamu yako MUMOCHAAAHivi hivi mnafeli mitihani unaulizwa kitu kingine unajibu kingine.
Kuna Koo Fulani zinatokea maeneo ya kiagata na Silorisimba hao ndio nafahamu Wanaoa binamu zao.
Kwetu hapana maana ningeenda kuoa moja ya binamu zangu maana watoto mashallah..
Kuna wenye chura mkuu nije kuoa, maana dahkaribu rombo...tabia yetu ya kwanza ni uaminifu ...yaan mwanamke wa rombo akikupenda hata aambiwe huyu mwizi hasikiii ,,,ya pili huwa tunapenda kuwaheshimu wanaume zetu kuliko vitu vyote ..ya tatu tunapenda kutafuta pesa,,,tu wahangaikaji sana yaan,, ya nne hatuna majivuno wala kiburi..hiki kitu tumenyimwa kwa kweli ..ya tano tu wapole sana yaan ...ya sita tunapenda kusali sana ...ya saba hata kama kwao ni matajiri hajionyeshi atajifanya wakawaida ...pia huwa wanapenda kusaidia watu wasiojiweza,kutoa misaada...pia wanawake wengi waliosoma ni waalimu
udhaifu wetu
ya kwanza tuna wivu wanaume sana .. ya pili mwanamke wa kirombo akiwa kwenye mahusiano anapenda mawasilino na mpenzie kuliko hata pesa...yaan hata usiwe unampa hata mia lakin ukiweza kudumisha mawasilino yaan anakuamin vibaya na anajua wew ni wa kwake pekee ake kumbe umewarundika wengi...ya tatu hawapendi kuzaa kabla ya ndoa ...yaan hata umdanganye vip hakubali anapenda kuipa heshima familia yake ni mara chache wanatokea waliozaa nje ya ndoa hapa inategemea na malezi na aina za familia...ya nne uaminifu uliopitiliza yaan hapa akiwa na jamaa hata atongozwe mara mia atawakataa wote wanaomtongoza hata iwe huyo jamaa yake hana mpango nae in short ni watu wanaopenda kukaa kwenye uhusiano wa muda mrefu na mtu mmoja hawajui kuchepuka,.
Wadatooga ni wale wanaitwa wamang'ati na na wairaqw ndio wanaitwa wambuluMkuu ina maana Wairaqw nio Wambulu na pia ni Wadatooga?
Oh mkuu Wadatoga wengi wanakifahamu kiiraqwi na sehemu walipo wadatoga na wairaqwi wapo hata historian wanasema wote wametokea Ethiopia wakirandanaMkuu ina maana Wairaqw nio Wambulu na wadatooga?
Psychiatry with religionSiri ya mafanikio ya Wachagga ni neema na rehema ya Bwana Yesu Kristo. Bwana Yesu ndie amekua akiwasaidia kwa muda mrefu. Hata ule uamuzi wa mababu zao kusettle kwenye mlima Kilimanjaro ilikua ni msaada wa Bwana Yesu. Bwana Yesu ndie aliwalinda wasiwe katikati ya njia kuu za misafara ya utumwa. Aliwasaidia wawakubali wamissionari wakikristo. Aliwalinda wasinyang'anywe ardhi yao kipindi cha ukoloni. Aliwalinda na anawalinda dhidi ya fitina za kisiasa baada ya uhuru.
Ni muhimu sana kwa Wachagga kuijua injili ya kweli kabisa (bila kujali madhehebu yao) hata kama kwenye maisha yao halisi watakua hawaifuati kikamilifu.
1) Yesu Kristo kwa kiebrania ni Yahushua Mashiah. Yahushua maana yake ni YAHWEH is Salvation. YAHWEH ni Mungu wa Abraham, Isaac na Jacob.
2) Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.
3) Siku takatifu ya kikweli kweli kabisa inaanza Ijumaa jioni (jua linapozama) na inaisha Jumamosi jioni (jua linapozama) (Seventh day Sabbath). Avoid kufanya dhambi muda huu (of course tunatakiwa tu avoid kufanya dhambi muda wote).
4) Waafrika weusi (including Wachagga) ni watoto wa Noah kupitia Ham kupitia Mizraim, Cush and Phut.
5) Ni vizuri watu wote (including Wachagga) wa avoid pride, arrogance, malice, hatred and envy.
Mafanikio ya kidunia yatatokana na:
1) Ku successfully participate in the major means of production, distribution and exchange in the economy in an atmosphere of low inequality.
2) Ku successfully participate in the neo-liberal global economy.
3) Kushirikiana vizuri na watu wengine, na kuavoid mahusiano yanayoleta hasara.
4) Majority ya Wachagga wajitahidi kupata elimu ya form 6 na kuendelea.
5) Kuishi a healthy lifestyle (including exercising), itakayowawezesha kuishi kwa muda mrefu huku wakiwa na afya njema kabisa.
Bwana Yesu Kristo anapenda mataifa yote yawe na nuru ya injili ya kweli. Anapenda kuwa na wafuasi kwenye mahema yote ya Shem, Ham na Japheth.
Ni vizuri watanzania waishi vizuri na kushirikiana vizuri na Wachagga (hususan Wachagga waadilifu) katika nyanja mbali mbali kama ambavyo wamekua wakifanya kwa muda mrefu. Ukiona Mchagga muadilifu ana mafanikio ujue sio kwa msuli au akili yake bali kwa neema ya Bwana Yesu Kristo. Kwa hiyo njia bora ya watanzania kufanikiwa ni neema ya Bwana Yesu Kristo.
Asante
Kwa wakristo hii ni point nzuri sanaPsychiatry with religion
Yapo makabila mengi Tanzania yanafika adi 130 kwa makadrioHii ni orodha ya makabila ya Tanzania.
Kuna matatizo kwenye majina kadhaa katika orodha hii, kwasababu mbalimbali. Orodha hii inatokana na orodha ya Ethnologue ya lugha za Tanzania, pamoja na tovuti nyingine. Inawezekana kwamba baadhi ya majina ya makabila ni majina ya lugha au lahaja badala ya makabila, na labda majina mengine yaliandikwa vibaya. Juu ya hivyo, hakuna ufafanuzi wa wazi kusema kwamba kikundi fulani ni kabila au siyo. Vikundi kadhaa katika orodha hii vina wenyeji mamia tu, lakini vikundi vingine vinavyo mamilioni ya watu; labda kila kikundi kinaitwa "kabila," lakini ni jamii za aina tofauti kabisa. Vikundi katika ukurasa huu vimeorodheshwa kuwa vikundi tofauti kutokana na ushahidi kutoka Ethnologue kutofautisha lugha zao.
Hii ni orodha ya makabila ya watu ambao wamekuwa wanaishi tangu zamani katika eneo ambalo sasa linaitwa Tanzania, pamoja na makabila yaliyogawiwa na mipaka baina ya Tanzania na nchi za jirani. Orodha hii haizingatii makabila yanayoishi katika Tanzania kama wakimbizi kutoka vita katika nchi za jirani. Ukurasa huu hauorodheshi vikundi vya wahamiaji kutoka nchi za kigeni, kama wahamiaji au wazao wao kutoka Arabia au Uhindi.
Retrieved from "http://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha_ya_makabila_ya_Tanzania"
- Waalagwa (pia wanaitwa Wasi) Waakiek Waarusha Waassa
- Wabarabaig Wabembe Wabena Wabende Wabondei
- Wabungu (au Wawungu) Waburunge Wachagga Wadatoga
- Wadhaiso Wadigo Wadoe Wafipa Wagogo
- Wagorowa (pia wanaitwa Wafiome) Wagweno Waha Wa hadzabe (pia wanaitwa Watindiga) Wahangaza Wahaya Wahehe Waikizu Waikoma
- Wairaqw (pia wanaitwa Wambulu) Waisanzu Wajiji Wajita Wakabwa
- Wakaguru Wakahe Wakam Wakara (pia wanaitwa Waregi) Wakerewe
- Wakimbu Wakinga Wakisankasa Wakisi Wakonongo Wakuria Wakutu
- Wakw'adza Wakwav Wakwaya Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele)
- Wakwifa Walambya Waluguru Waluo Wamaasai Wamachinga
- Wamagoma Wamakonde Wamakua (au Wamakhuwa) Wamakwe (pia wanaitwa Wamaraba) Wamalila Wamambwe Wamanda Wamatengo
- Wamatumbi Wamaviha Wambugwe Wambunga Wamosiro Wampoto
- Wamwanga Wamwera Wandali Wandamba Wandendeule Wandengereko
- Wandonde Wangasa Wangindo Wangoni Wangulu Wangurimi (au Wangoreme) Wanilamba (au Wanyiramba) Wanindi Wanyakyusa Wanyambo
- Wanyamwanga Wanyamwezi Wanyanyembe Wanyaturu (pia wanaitwa Warimi) Wanyiha Wapangwa Wapare (pia wanaitwa Wasu)
- Wapimbwe Wapogolo Warangi (au Walangi) Warufiji Warungi
- Warungu (au Walungu) Warungwa Warwa Wasafwa Wasagara Wasandawe
- Wasangu Wasegeju Washambaa Washubi Wasizaki Wasuba Wasukuma
- Wasumbwa Waswahili Watemi (pia wanaitwa Wasonjo) Watongwe
- Watumbuka Wavidunda Wavinza Wawanda Wawanji Waware (inaaminika lugha yao imekufa) Wayao Wazanaki Wazaramo Wazigula Wazinza
- Wazyoba