Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Wachagga ni wachapa kazi kabla hata ya wazungu na waarabu kuja.

Ni kweli hali ya kiuchumi ya wachagga kwa sasa sio nzuri. Hali hii mbaya ilianza baada ya vita vya Uganda, ilizidishwa na economic crisis ya miaka ya mwanzo ya 1980s. Wimbi la privatisation na kurekebisha mashirika ya umma liliwaumiza pia, kwani wafanyakazi wengi wachagga walipunguzwa kazini. Kuporomoka kwa bei ya kahawa miaka ya 1980s. Gonjwa la ukimwi liliwaumiza sana wachagga pia. Muamko wa kimaisha wa mikoa mingi ya Tanzania vile vile imetoa ushindani wa kiuchumi kwa wachagga. kumbuka ni haki, kwa mikoa yote kuamka kimaisha.

Baada ya uchaguzi mkuu wa 1995 wachagga wengi waliondolewa kwenye system ya ndani, ingawa civil servants wachagga bado walikuweko.

Matatizo ya kiuchumi ya sasa ya nchi yalianza baada 2010. Baada ya 2010 serikali ndio once again ikaanza kukopa madeni ya nje kwa riba za kibiashara, hususan baada ya wafadhili kupunguza misaada kwasababu ya scandals zilizotokea wakati huo.

Kwa sasa familia nyingi za wachagga zimeyumba kiuchumi, ingawa wachagga wengi bado wanaweza kuafford vitu vya msingi. Bottom 1/3 wameyumba sana, 1/3 inayofuata wameyumba wastani. 1/3 ya juu wameyumba kidogo. Theluthi ya hiyo 1/3 ya juu, yaani 1/9 top economic group ya wachagga ndio bado wako vizuri. Wachagga vijana wasio na ajira, wachagga wenye ajira zenye mishahara midogo, wachagga wenye ardhi kidogo ya kilimo, wachagga wenye biashara ambazo hazipati faida, pamoja na wachagga wazee wengi wao wameyumba pia. Wachagga ambao wako vizuri ni wale wenye ajira nzuri zenye mishahara mizuri, wenye biashara ambazo bado zinapata faida, wenye ardhi kubwa ya kilimo, na shughuli nyingine ambazo zinaenda vizuri. Familia zilizoyumba kiuchumi mara nyingi huwa zinakuwa na mivutano ya ndani kwa ndani.

Uzi huu unawatia moyo wachagga wakumbuke nguvu yao ya mafanikio inatoka wapi. Na huenda original plan ya Mungu wa Israel ilikua Tanzania iongozwe na wachagga waadilifu tokea uhuru. Ila aliruhusu mambo yawe yalivyokuwa ili wachagga watakapo ongoza nchi makabila mengine yasinung'unike. Na vile vile watakapo ongoza nchi (au wasipo ongoza nchi) waishi kwa kumtegemea Mungu. Kwahiyo ni vizuri watu wakajua kwamba kuwasambaratisha wachagga waadilifu kunaweza kusimfurahishe Mungu wa Israel. Wachagga wawe na subira kwani kipindi cha miaka 70 baada ya uhuru kikija (mwaka 2031) basi hali ya wachagga inaweza ikaanza kua nzuri sana kwa kipindi kirefu. Kuna uwezekano pia hali hiyo isi improve. Pia kuna uwezekano baada ya 2031 akaja Rais mprotestanti atakaependa wachagga, kuna uwezekano hili lisitokee pia.

Pamoja na maelezo hayo marefu kuna wachagga wengi ambao Bwana Yesu anawapigania na kuwasaidia wafanikiwe kimaisha hata kwenye vipindi vigumu. Bwana Yesu pia anagusa mioyo ya watu wa makabila mengine na kuwafanya washirikiane vizuri na wachagga waadilifu. Also indeed ukiweza kuangalia mioyo ya watanzania waadilifu utaona wengi wao kisiri siri wana amini akipatikana Rais mchagga muadilifu, mchapa kazi, mwenye exposure, mwenye akili na ubunifu, nchi itapiga hatua kubwa sana kimaisha na kimaendeleo.

NB: Matatizo mengi yaliyo tajwa hapo juu yamewapata pia watanzania wengine. Also Bwana Yesu anawapenda watu wote.
Umenena vema
 
7267398228_b517090c63_z.jpg
Mabinti wa Kidatooga (Wairaqw)
Mkuu ina maana Wairaqw nio Wambulu na pia ni Wadatooga?
 
Hivi hivi mnafeli mitihani unaulizwa kitu kingine unajibu kingine.

Kuna Koo Fulani zinatokea maeneo ya kiagata na Silorisimba hao ndio nafahamu Wanaoa binamu zao.

Kwetu hapana maana ningeenda kuoa moja ya binamu zangu maana watoto mashallah..
Nipe mimi mkuu binamu yako MUMOCHAAA
 
karibu rombo...tabia yetu ya kwanza ni uaminifu ...yaan mwanamke wa rombo akikupenda hata aambiwe huyu mwizi hasikiii ,,,ya pili huwa tunapenda kuwaheshimu wanaume zetu kuliko vitu vyote ..ya tatu tunapenda kutafuta pesa,,,tu wahangaikaji sana yaan,, ya nne hatuna majivuno wala kiburi..hiki kitu tumenyimwa kwa kweli ..ya tano tu wapole sana yaan ...ya sita tunapenda kusali sana ...ya saba hata kama kwao ni matajiri hajionyeshi atajifanya wakawaida ...pia huwa wanapenda kusaidia watu wasiojiweza,kutoa misaada...pia wanawake wengi waliosoma ni waalimu

udhaifu wetu

ya kwanza tuna wivu wanaume sana .. ya pili mwanamke wa kirombo akiwa kwenye mahusiano anapenda mawasilino na mpenzie kuliko hata pesa...yaan hata usiwe unampa hata mia lakin ukiweza kudumisha mawasilino yaan anakuamin vibaya na anajua wew ni wa kwake pekee ake kumbe umewarundika wengi...ya tatu hawapendi kuzaa kabla ya ndoa ...yaan hata umdanganye vip hakubali anapenda kuipa heshima familia yake ni mara chache wanatokea waliozaa nje ya ndoa hapa inategemea na malezi na aina za familia...ya nne uaminifu uliopitiliza yaan hapa akiwa na jamaa hata atongozwe mara mia atawakataa wote wanaomtongoza hata iwe huyo jamaa yake hana mpango nae in short ni watu wanaopenda kukaa kwenye uhusiano wa muda mrefu na mtu mmoja hawajui kuchepuka,.
Kuna wenye chura mkuu nije kuoa, maana dah
 
Hii thread namuona kiwia na mumewe kilewo,mhhhh acha sisi wandereko tutakuja na thread nyingine haya kina matimbwa,njechere,malinda,ulongo,jongo,mkumba,lumbwe,ngomango,kitutya,kwangaya,ngoro,ngorwe,ngwere,dambaya,mtupa,kulita,kihambwe,chembera,koliti,lwambo,msengwa,pamba, haya mje huku
 
Siri ya mafanikio ya Wachagga ni neema na rehema ya Bwana Yesu Kristo. Bwana Yesu ndie amekua akiwasaidia kwa muda mrefu. Hata ule uamuzi wa mababu zao kusettle kwenye mlima Kilimanjaro ilikua ni msaada wa Bwana Yesu. Bwana Yesu ndie aliwalinda wasiwe katikati ya njia kuu za misafara ya utumwa. Aliwasaidia wawakubali wamissionari wakikristo. Aliwalinda wasinyang'anywe ardhi yao kipindi cha ukoloni. Aliwalinda na anawalinda dhidi ya fitina za kisiasa baada ya uhuru.

Ni muhimu sana kwa Wachagga kuijua injili ya kweli kabisa (bila kujali madhehebu yao) hata kama kwenye maisha yao halisi watakua hawaifuati kikamilifu.

1) Yesu Kristo kwa kiebrania ni Yahushua Mashiah. Yahushua maana yake ni YAHWEH is Salvation. YAHWEH ni Mungu wa Abraham, Isaac na Jacob.

2) Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

3) Siku takatifu ya kikweli kweli kabisa inaanza Ijumaa jioni (jua linapozama) na inaisha Jumamosi jioni (jua linapozama) (Seventh day Sabbath). Avoid kufanya dhambi muda huu (of course tunatakiwa tu avoid kufanya dhambi muda wote).

4) Waafrika weusi (including Wachagga) ni watoto wa Noah kupitia Ham kupitia Mizraim, Cush and Phut.

5) Ni vizuri watu wote (including Wachagga) wa avoid pride, arrogance, malice, hatred and envy.

Mafanikio ya kidunia yatatokana na:

1) Ku successfully participate in the major means of production, distribution and exchange in the economy in an atmosphere of low inequality.

2) Ku successfully participate in the neo-liberal global economy.

3) Kushirikiana vizuri na watu wengine, na kuavoid mahusiano yanayoleta hasara.

4) Majority ya Wachagga wajitahidi kupata elimu ya form 6 na kuendelea.

5) Kuishi a healthy lifestyle (including exercising), itakayowawezesha kuishi kwa muda mrefu huku wakiwa na afya njema kabisa.

Bwana Yesu Kristo anapenda mataifa yote yawe na nuru ya injili ya kweli. Anapenda kuwa na wafuasi kwenye mahema yote ya Shem, Ham na Japheth.

Ni vizuri watanzania waishi vizuri na kushirikiana vizuri na Wachagga (hususan Wachagga waadilifu) katika nyanja mbali mbali kama ambavyo wamekua wakifanya kwa muda mrefu. Ukiona Mchagga muadilifu ana mafanikio ujue sio kwa msuli au akili yake bali kwa neema ya Bwana Yesu Kristo. Kwa hiyo njia bora ya watanzania kufanikiwa ni neema ya Bwana Yesu Kristo.

Asante
Psychiatry with religion
 
Datooga ndio Wamang'ati na ndio wabarbaig. Hawa ni ndugu ya wanandi wa Kenya.
 
This is not directly relevant to this thread, but it is helpful:

Raia mzawa halisi wa Tanzania ni yule ambaye alikutwa hapa na Wajerumani. Kwahiyo ukisikia Karl Peters aliingia mkataba na chifu Fulani au chifu Fulani alikataa kuingia mkataba na Karl Peters basi ujue kuwa makabila ya hao machifu ni wazawa halisi wa Tanganyika. Between 1885-1890 Tanganyika ilikuwa chini ya German East Africa company ya Karl Peters.

Kuwa more precise mzawa halisi ni yule ambaye yupo ndani ya mipaka ya Tanganyika by 1891, ambapo Tanganyika ilikuwa formally koloni la serikali ya Ujerumani.

Vile vile mtu aliekua Tanganyika by 1961 alipewa uraia wa Tanganyika automatically. Sera hii ili lenga ku avoid kuwa bagua wageni ambao walikuja au waliletwa na wakoloni Tanganyika. Kwa mfano, mtu ambae aliletwa na wajerumani Tanganyika kumwambia arudi kwao mwaka 1961 ingekua sio vizuri, na unaweza kukuta alisha kusahau huko mababu zake walikotoka.

Kila kabila lina ingia kwenye nchi ya Tanganyika na ardhi yake. Vile vile linaondoka kwenye nchi ya Tanganyika na ardhi yake. Kwa mfano Wagogo wanaingia Tanganyika na ardhi yao ya Ugogo ya Dodoma, na wanaondoka na ardhi yao. Huwezi kuwaondoa Wagogo Dodoma halafu ukabaki na ardhi yao kwa kisingizio cha utaifa. Kama hutaki Wagogo Tanganyika basi usiitake na ardhi yao pia. Hivyo hivyo kwa makabila mengine wamakonde, wachagga etc. Au uwaondoe wachagga Moshi na ubaki na mlima Kilimanjaro Tanzania. Wachagga wanaingia Tanganyika na Tanzania na ardhi yao na mlima wao na wakitoka wanaondoka na ardhi yao na mlima wao. Wasukuma, wakurya nao hivyo hivyo. Sio vizuri kutenganisha watu na ardhi yao ya jadi, hata kama utawapeleka sehemu nyingine ndani ya nchi.

Tukiazima mfano wa kibiblia, hii inafanana kwa mfano na Israel wakati wa agano la kale, atokee mfalme wa Israel, awanyang’anye kabila la Yudah ardhi yao kwa kisingizio cha utaifa wa Israel. Au atokee kiongozi wa kabila la Yudah awanyanganye wanaukoo Fulani wa kabila la Yudah ardhi yao kwa kisingizio cha maslahi mapana ya kabila la Yudah. Haya hayatakuwa mazuri kibiblia.

Watu wanaweza kutenganishwa na ardhi yao kwa kupitia itikadi ya mrengo wa kushoto, wa kati au wa kulia. Kwa Mfano unaweza kusema unawaamisha wazanzibari wote kutoka Zanzibar ilikupisha shamba kubwa la karafuu la kijamaa la serikali au ili kumpisha mwekezaji mkubwa wa hoteli kutoka ndani au nje au ili kuhifadhi mazingira ya bahari au ili kujenga umoja wa kitaifa. Baadhi ya sababu hizi zinaweza kuonekana ni za kizalendo, au nzuri kiuchumi, au nzuri kimazingira, lakini kiukweli ni kwamba zitawaumiza wazanzibari na kuwanyang’anya ardhi yao ya jadi.

Kuna situations ambapo ardhi ya makabila inatumika na wengine. Kama makabila kutenga maeneo yao kuwa miji na majiji ilikurahisisha muingiliano wa kiutawala na kiuchumi. Makabila yenye shortage ya ardhi kuhamia kwa wenye surplus ya ardhi etc (hata hapa pia kabila wazawa linatakiwa kuwa na ardhi nyingi na muhimu kuliko kabila wahamiaji).

Kwenye ardhi pia dhana ya next of kin ni muhimu (ndugu wa karibu). Mfano wakifa bushmen (San) wote wa Republic of South Africa, next of kin wao ni wabantu wa South Africa, so hao ndio watairithi ardhi yao. Akitokea mtu mwingine kutoka bara lingine akajifanya ndio mrithi wa hiyo ardhi, ita fanya watu wagune. Au wakifa wa Scotland wote Scotland, next of kin wao ni wacelts au wa irish au waingereza ambao watairithi ardhi yao. Vivyo hivyo akitokea mtu mwingine kutoka bara lingine akajifanya ndio mrithi wa hiyo ardhi, ita fanya watu wagune. So kabila Fulani likifa kabila ndugu la karibu yake ndio wanakua warithi wa hio ardhi.


Maranyingi mabeberu na watu wanao jenga empires ndio hua hawa pendi dhana hiyo ya ardhi hapo juu.

Kwa mfano, anakuja mfalme wa Assyria anawahamisha taifa zima kutoka sehemu moja na kulipeleka sehemu nyingine. Ili kuwafanya hao watu wasiwe na mizizi na wamtegemee yeye.

Kuconclude raia mzawa halisi wa Tanzania ni yule ambaye alikutwa hapa na Wajerumani. Na makabila halisi ya wazawa ni yale ambayo yalikutwa hapa na Mjerumani. Vile vile mtu aliekua Tanganyika by 1961 alipewa uraia wa Tanganyika automatically.
 
Ukabila utawatesa sana, at the end of the day mtagundua kwamba mengi mnayojaribu kuyatafiti,either Yana ukweli kidogo , hayana uhakika Sana au ni ya uongo kabisa. Tatizo hapa ni kwamba makabila mengi ya kiafrika (ukiacha yale yenye asili ya kush na Arabic) njia zao za kurekodi historia zilikua primitive .
wali record historia yao orally zaidi. Mimi nikiwa mzawa wa wachagga, kwa Muda mrefu nimekua nikitafiti asili (origin) yetu, mnamo mwaka 2008 nikiwa naishi south Korea nitembelea chuo kikuu cha seoul. Nikaingia maktaba ya Afrika ya chuo. Nikakuta wamarekani kule wameacha baadhi ya vitabu. Moja Kati ya kitabu kilichonivutia ni hiki kilichofanya niwaeleze habari hii.Kitabu chenyewe kinaitwa "The history of The chagga people of Kilimanjato before 16 century by Prof Arthur Murdoch". Kitabu chenyewe kina Emphasize Origin, customs,and culture of the Tribe. Hilo la asili ya wachagga lipo very complicated kuliko mnavyoweza kufikiri. Ila pamoja na yote unabakia ukweli kwamba The chaggas are the Combination of many tribes. main clusters zikiwa Ongamo (Origin of the tribe from ethiopia highlands) Kambas, Maasais, and Taita . kitabu hiki chenye takriban 3000 pages kinaelezea history of chaggas back to 11 century AD. kolichoniacha Hoi zaidi ni kwamba wazungu wanatufahamu vizuri kuliko sisi wenyewe tunavyojijua. Wakati silabasi zetu mashuleni zinazungumzia our history after year 1840, wao wazungu wanatuzungumzia before year 1200... .. kumbe wachagga wa Mwanzo. hawakutokea Congo wala Dodoma, wala hawakua bantus. Ila baada ya 17century koo za mwanzo za kibantu zilianza kuchanganyika na Hawa early chaggas. Kwamba warangi wahamitiki (wanaojulikana kama wasi) walikua neighbors wa hawa wachagga na asili Yao ni kilimanjaro.,tena waliishi maeneo ya kuanzia Himo kuzungukia ,Ryatta , Lotima hadi holili.(hata haya majina Yana sound ki hamitili zaidi ) ..hii inatupa jibu jingine kwamba hata majina ya maeneo na vitongoji vingi vya kilimanjaro yalikua ya ki hamitiki.maeneo ya Marangu kwetu Kuna majina kama Toor,Aris, na mengiineyo mengi ,majina ambayo haya sound bantu kabisa. Kumbe hata nyuso za hawa ndugu zangu wachagga wa leo zina define origin yao.Hembu Watizame wengi nyuso zao ni narrow jee pua zao???. Wao Mungu wanamwita RUWA. wambulu (Hammites) wao Mungu wanamwita RUWOR( it sounds the same) majirani zetu wapare Mungu wanamwita MULUNGU (tofauti)Either kwenye kitabu hiki tunaelezwa jinsi kabla ya 14century walivyokua tayariwameanza ku apply irrigation way of farming, tofauti kabisa na bantus wengine. Kwamba hata kabla ya their southern bantu neighbors yaani pares, sambaas ziguas and Bondeis,hawajaform chiefdormships wao tayari walikua na wamangi. Kuna jambo moja lilinishangaza zaidi kwamba hata Hao Ancient chaggas walipokuja kule nao walikuta wenyeji waliojulikana kama wa umbo au Wateremba. Ambao walikua pygmies Hawa waliishi huku walipo wachagga leo, (kwenye mwanzo wa miinuko) walikua na nywele za singa, alafu kule juu misituni waliishi wengine wakiitwa wakonyingo ambao walikua ni jamii ya Kongo Pygmies . Hivyo new comers walipokuja Wali walifukuzia mbali wenyeji walowakuta. Hivyo basi Kutokana na historia hii fupi tunapata conclusion kwamba Hawa bantus wanao claim kwamba ndio the owners of the Land nao pia sio watangulizi hapa. Hii historia niliyotafiti inahusiana na kabila langu ila naamini" even the history of other tribes ,all around this country sounds the same." Hivyobasi mwenye haki ya ku claim kwamba hii nchi ni yake ya asili ni MBILIKIMO tuu na si mwingine. NB: nipo kwenye hatua za mwisho kutoa kitabu kitakacho kuwa na simulizi nyingi ambazo zitakusaidia kuelewa mengi kama utahitaji kuelewa.
 
Hii ni orodha ya makabila ya Tanzania.
Kuna matatizo kwenye majina kadhaa katika orodha hii, kwasababu mbalimbali. Orodha hii inatokana na orodha ya Ethnologue ya lugha za Tanzania, pamoja na tovuti nyingine. Inawezekana kwamba baadhi ya majina ya makabila ni majina ya lugha au lahaja badala ya makabila, na labda majina mengine yaliandikwa vibaya. Juu ya hivyo, hakuna ufafanuzi wa wazi kusema kwamba kikundi fulani ni kabila au siyo. Vikundi kadhaa katika orodha hii vina wenyeji mamia tu, lakini vikundi vingine vinavyo mamilioni ya watu; labda kila kikundi kinaitwa "kabila," lakini ni jamii za aina tofauti kabisa. Vikundi katika ukurasa huu vimeorodheshwa kuwa vikundi tofauti kutokana na ushahidi kutoka Ethnologue kutofautisha lugha zao.
Hii ni orodha ya makabila ya watu ambao wamekuwa wanaishi tangu zamani katika eneo ambalo sasa linaitwa Tanzania, pamoja na makabila yaliyogawiwa na mipaka baina ya Tanzania na nchi za jirani. Orodha hii haizingatii makabila yanayoishi katika Tanzania kama wakimbizi kutoka vita katika nchi za jirani. Ukurasa huu hauorodheshi vikundi vya wahamiaji kutoka nchi za kigeni, kama wahamiaji au wazao wao kutoka Arabia au Uhindi.
Retrieved from "http://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha_ya_makabila_ya_Tanzania"
Yapo makabila mengi Tanzania yanafika adi 130 kwa makadrio
mengine ni kama
.1.WALUO
2.WAMERU
3.WAKURYA
4.NYASA
5.WAKAMBA
6.NYASA
 
Back
Top Bottom