Sob utamweleza bora umejitetea
Naomba tujikumbushe majina yenye mvuto halisi wa Kiafrika.
1: Ngengafibili mwaikugile
2: Tuntemeke Sanga
.......Endeleeni kuyamimina mengine.
nampenda sana hyu jamaa, kwa msisitizo anaitwa Tundu Antipas Mughwai Lissu!
NOTE: sio kwamba nampenda kimapenz tafadhali nisieleweke vibaya!
Thanks, sikujua kama ni refu kiasi hiki
Jamani Mimi majina ya kisauzi Afrka ya asili yananipa shida sana kutamka, yaani jina unasubiri anayejua kulitamka atamke kwanz ndio na wewe ufuatie, kama unafundishwa kusoma vile!, akikosea kidogo kutamka na wewe umekosea pia, hujui hata kulirekebisha!
:glasses-nerdy::glasses-nerdy:Justification ikizidi?:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
nampenda sana hyu jamaa, kwa msisitizo anaitwa tundu antipas mughwai lissu!
Note: sio kwamba nampenda kimapenz tafadhali nisieleweke vibaya!
kama hili "Kefilwe Khumalo"?
Thanks, sikujua kama ni refu kiasi hiki
Shinji Kagawa!Na ya kijapani je? Mwenzenu naona hata aibu kuyataja.
Mwenye ubavu ayaanike hapa.