Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,551
Majina kama kuli, nyoka, bodaboda, mzibua vyoo na mzibua mitaro hayawezi kukupa morali ya kazi. Badala yake, fani hizi tukufu zingetumia majina kama
1. Kuli (angeitwa afisa wa mizigo)
2. Nyoka (angeitwa afisa msaidizi wa uchimbaji)
3. Bodaboda (angeitwa afisa msafirishaji)
4. Mzibua vyoo na Mitaro (angeitwa afisa afya daraja la 3)
Ongeza wengine.
1. Kuli (angeitwa afisa wa mizigo)
2. Nyoka (angeitwa afisa msaidizi wa uchimbaji)
3. Bodaboda (angeitwa afisa msafirishaji)
4. Mzibua vyoo na Mitaro (angeitwa afisa afya daraja la 3)
Ongeza wengine.