tangu nizaliwe siijui gesti na kunywa sinywi achilia mbali kungonoka.
mh, nahitaji kujua hulka za fulani hapa. . . . hebu nitajieni!
Mtaje tu watu wafunguke
mh,nimemsahau jina. can u guess!
Mlevi, mhudumu wa gesti.
Tena pale kuna akaunta mpya anaitwa Lulu. Machalii yanampangiaje foleni?
gesti ipi? Fyatanga?
hebu jaribu kumkumbuka.
Naona unamzungumzia Madame B ambaye bado kuzaliwa.
Na ile tabia yako ya kipica chabo watu wakingonoka ushaiacha? Nakumbuka walivokupopoa na spoku pale VIP gest. Hivi wangekutoboa macho ungemwambia nini mama? Hatar @ ina maana jamaa anachongo?
Eliah G Kamwela?