jaman list ya pil iyo mbona aifunguki aise inantia presha mwenzenu aliyefankiwa kufungua list 2 aniangalizie aya majina sabas moses,sanifu, justine na titus piason. ntashukuru sana
jaman list ya pil iyo mbona aifunguki aise inantia presha mwenzenu aliyefankiwa kufungua list 2 aniangalizie aya majina sabas moses,sanifu, justine na titus piason. ntashukuru sana
Maisha magumu duh
Thanks mkuu nimeyaona ni kweli
kwl au
true pitia web yao
www.heslb.go.tz
utaona majina na wapi umekosea kwenye application yako
majina meng kupta kiasi
mkuu umenena kweli kabisaa tena yamepangwa A-Z ,tcu nao wafanye yao sasa.
jaman yale majina yamepangwa kwa herufi lakin kama ukchek vzur herufi 'A' hakuna cjui kwanin
kumbuka jina la kwanza ni la mzazi so ukiwa unatafuta jina lako angalia herufi ya kwanza ya jina la mzazi wako
'A' ipo