clever boy ze don Member Jun 25, 2013 65 11 Jul 22, 2013 #1 NDUGU HABARINI; KWA YOYOTE ANAYEJUA KUHUSU KUTOKA KWA MAJINA KWA WALE WALIO KOSEA KATIKA FOMU ZA BODI ANIJUZE. :help::help::help:
NDUGU HABARINI; KWA YOYOTE ANAYEJUA KUHUSU KUTOKA KWA MAJINA KWA WALE WALIO KOSEA KATIKA FOMU ZA BODI ANIJUZE. :help::help::help:
irumba1 JF-Expert Member May 10, 2013 882 322 Jul 22, 2013 #2 Hata mimi ninahamu ya kufahamu tujuzeni wana jf
M Molembe JF-Expert Member Dec 25, 2012 9,822 11,554 Jul 22, 2013 #5 Watanzania tunapenda rumours sana.
B Bennie Da Glory New Member Jul 20, 2013 2 0 Jul 23, 2013 #7 vuta subira matokeo ya waliopewa mkopo yakitoka, siku kadhaa baadae na mliokosea mtaitwa kufanya marekebisho.
vuta subira matokeo ya waliopewa mkopo yakitoka, siku kadhaa baadae na mliokosea mtaitwa kufanya marekebisho.