<br />Nimefanikiwa kupata haya tu ila kadri nitakavyofanikiwa nitayaweka hapajamvini,msisahau shkrani.
<br />mimi nipo kijijini natumia simu kubrowse kwani huku hakuna internet cafe wala computer.na hizi PDF hazifunguki kwenye simu yangu ili niweze kusoma ili kujua kama nimechaguliwa.naomba msaada wenu ikiwezekana yaondoeni kwenye pdf ili tunaotumia simu nasi tufaidike
<br />Naona vijana mmefulai sana
mkuu wape watu news bila kuomba asante,watafanya hivyo wakijisikia.Nimefanikiwa kupata haya tu ila kadri nitakavyofanikiwa nitayaweka hapajamvini,msisahau shkrani.
mimi nipo kijijini natumia simu kubrowse kwani huku hakuna internet cafe wala computer.na hizi PDF hazifunguki kwenye simu yangu ili niweze kusoma ili kujua kama nimechaguliwa.naomba msaada wenu ikiwezekana yaondoeni kwenye pdf ili tunaotumia simu nasi tufaidike
<br />na hii hapa kwa wale wa bodi ya mikopo <a href="http://heslb.go.tz/index.php?option=com_content&view=category&id=43&Itemid=28" target="_blank">Loan Allocation</a>
yote yametoka angalia heslbNimefanikiwa kupata haya tu ila kadri nitakavyofanikiwa nitayaweka hapajamvini,msisahau shkrani.