Majina ya TCU haya hapa na mikopo waliyopata

Status
Not open for further replies.
mimi nipo kijijini natumia simu kubrowse kwani huku hakuna internet cafe wala computer.na hizi PDF hazifunguki kwenye simu yangu ili niweze kusoma ili kujua kama nimechaguliwa.naomba msaada wenu ikiwezekana yaondoeni kwenye pdf ili tunaotumia simu nasi tufaidike
 
mimi nipo kijijini natumia simu kubrowse kwani huku hakuna internet cafe wala computer.na hizi PDF hazifunguki kwenye simu yangu ili niweze kusoma ili kujua kama nimechaguliwa.naomba msaada wenu ikiwezekana yaondoeni kwenye pdf ili tunaotumia simu nasi tufaidike
<br />
<br />
JARIBU KUTEMBELEA E MAIL YAKO
 
Ndugu zangu, naombeni msaada...naomba anayeweza kuniangalizia anitaarifu. Cna comp ninatumia c'mu.
 
mimi nipo kijijini natumia simu kubrowse kwani huku hakuna internet cafe wala computer.na hizi PDF hazifunguki kwenye simu yangu ili niweze kusoma ili kujua kama nimechaguliwa.naomba msaada wenu ikiwezekana yaondoeni kwenye pdf ili tunaotumia simu nasi tufaidike


kama una Gmail ukisha-download hayo ma file jitumie email ukiwa ume attach hayo ma-file then kayasome kupitia Gmail
 
Asante sana mkuu, Mungu akubariki. Nimeangalia nimeona mkopo umetumwa UDSM i think hapo ndio nilipochaguliwa na TCU
na hii hapa kwa wale wa bodi ya mikopo <a href="http://heslb.go.tz/index.php?option=com_content&amp;view=category&amp;id=43&amp;Itemid=28" target="_blank">Loan Allocation</a>
<br />
<br />
 
waliowekwa kwenye group b ni kwamba hawanamkopo inavyoonyesha angalia hawa
 
Mengine haya hapa. Wadau endeleeni kutuwekea kila mnavyoyapata, website ya TCU in traffic jam shida sana ku-dowload.

Naona walioomba second selection hawamo, vipi watatoa mara ya pili? mwenye taarifa atujuze.
 

Attachments

  • Group b_N-Z.pdf
    3.4 MB · Views: 2,158
  • Group a_T-Z.pdf
    1.2 MB · Views: 1,273
Jamani nisaidieni nami jina ni Diana Fares kachaguliwa wapi na facult gani?
 
4024
S1754.0014.2008
FARES, DIANA
F
BEACE
UD056-Bachelor of Education in Adult and Community Education
UDSM
3,452,500.00
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom