Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Kulikuwapo na watoto wawili KISA na NATO.
Siku moja NATO alikuwa amenunua kitu chake kinaitwa RAWE; na akawa ajidai nacho kwa KISA kama ifuatavyo.
NATO: Kisa rawe yangu x3 (huku anapandisha sauti)
Bahati mbaya wakati Nato anafanya majigambo haya akatokea mbwa; na Kisa akawa ndo wa kwanza kumwona mbwa huyu. Kisa akaamua amhadharishe mwenzake, Nato juu ya mbwa kama ifuatavyo.
KISA: Nato (weka jina la mnyama huyu) x5 .
Na uwe makini usitoe sauti kubwa watu wanaweza kujua unaliwa wewe (mtandao wetu ule)!
Na huu ndo ukawa mwanzo wa hayo maneno mawili.:blah: :argue:
Siku moja NATO alikuwa amenunua kitu chake kinaitwa RAWE; na akawa ajidai nacho kwa KISA kama ifuatavyo.
NATO: Kisa rawe yangu x3 (huku anapandisha sauti)
Bahati mbaya wakati Nato anafanya majigambo haya akatokea mbwa; na Kisa akawa ndo wa kwanza kumwona mbwa huyu. Kisa akaamua amhadharishe mwenzake, Nato juu ya mbwa kama ifuatavyo.
KISA: Nato (weka jina la mnyama huyu) x5 .
Na uwe makini usitoe sauti kubwa watu wanaweza kujua unaliwa wewe (mtandao wetu ule)!
Na huu ndo ukawa mwanzo wa hayo maneno mawili.:blah: :argue: