Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Wakuu, katika chunguza chunguza yangu nimegundua kuwa majimbo yanayoongozwa na Wabunge wa Chadema yako juu kimaendeleo hasa huduma za jamii. Mfano mzuri ni Moshi mjini na Kigoma .
Ukifika MS mjini utatamani uendelee kuwepo maana kwanza kwa usafi , pili maji kibao, etc
Kule kwa Kabwe hata usiseme . Mambo mengi yametokea kwa miaka mitano tu .
I know it is true and only truth. CHAGUA CHADEMA .
Ukifika MS mjini utatamani uendelee kuwepo maana kwanza kwa usafi , pili maji kibao, etc
Kule kwa Kabwe hata usiseme . Mambo mengi yametokea kwa miaka mitano tu .
I know it is true and only truth. CHAGUA CHADEMA .