Nikati ya majimbo tuliyotegemia mkuu Tunashukuru!Wadau naomba tuweke majimbo yote ambayo chadema imeshinda (Ni yale ambayo Nec imethibitisha):-
1. Moshi Mjini
2. Arusha Mjini
3. Meatu
4. Musoma Mjini
5. Iringa Mjini
6. Maswa Mashariki
7. Maswa Magharibi
8. Mbeya Mjini...
Mkuu una maana tuweke na tuliyopoteza..? Kumbuka chadema walikua na majimbo 5 tu kwahiyo yaliyopotea ni rahisi kuyajua ukizingatia mengi wameweza kuyatetea na kuyarudisha...!Nadhani ungerekebisha ikawa hivi
Chadema CCM
Maswa Mgh. Tarime
mkuu tungeweka majimbo na majina ya washindi
6. Maswa Mashariki
Chadema 17,075
CCM 17,014
CUF 485
UDP 443
7. Maswa Magharibi
Chadema 17,456
CCM 12, 135
CUF 1,645
UDP 381
Nec imetangaza rasmi sasa
Musoma mjini
Kigoma kaskazini
Ubungo
Moshi mjini
Hai
Sumbawanga mjini
Nkasi kaskazini
Kahama
Arusha mjini
Karatu
Kiteto
Iringa mjini
Mbeya mjini
Mbeya vijijini
Nyamagana
Ilemela
Mbulu
Songea mjini
Mbozi mashariki
Maswa mashariki
Ukonga
Kawe
Kibaha mjini
Arumeru
Serengeti
Singida kaskazini
Biharamulo
Segerea
Rombo
Hanang
Ulanga Magharibi
Meatu
Maswa Magharibi
Maswa Mashariki
NB: Kama kuna jimbo nimelisahau naomba mnifahamishe
Mkuu umerudia majimbo mara mbili, ie. "Maswa Mashariki"Musoma mjini
Kigoma kaskazini
Ubungo
Moshi mjini
Hai
Sumbawanga mjini
Nkasi kaskazini
Kahama
Arusha mjini
Karatu
Kiteto
Iringa mjini
Mbeya mjini
Mbeya vijijini
Nyamagana
Ilemela
Mbulu
Songea mjini
Mbozi mashariki
Maswa mashariki
Ukonga
Kawe
Kibaha mjini
Arumeru
Serengeti
Singida kaskazini
Biharamulo
Segerea
Rombo
Hanang
Ulanga Magharibi
Meatu
Maswa Magharibi
Maswa Mashariki
NB: Kama kuna jimbo nimelisahau naomba mnifahamishe