Freshthinking
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 621
- 108
- Thread starter
- #101
yani mkuu umeongea kitu cha maana sana.sijui tufanye nini ili wazo hili liwafikie mods. Tokea ID ya tuntemeke iliposimama kupost hapa pametokea ID's zaidi ya 10 zikianzisha mada mfu!kuna mmoja anaitwa taswira hakulala almost 30 hrs akimtetea zitto .sijui anawapa hela kiasi gani.
Wewe utakuwa sio mpenzi wala mwanachama wa CDM. Sera ya CDM ni democracy and freedom of speech as long as humtukani mtu wala huhatarishi usalama. Sasa hata kama mtu anatengeneza IDs 100, MODS watazifunga kama atasema matusi au kasha. Na kwa taarifa ni kwamba kuna live feed ambayo Mods wanaweza kutumia kugundua mpaka namba ya nyuma uliyopo wakati una post. Zitto mwenyewe pengine anakucheka tu unavyosema anatoa hela! Au kuna mtu anawapa pesa kumchafua?