bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
MAJIBU YA KIHAYA!!
Umenyoa nywele?
A: Hapana, nimebadilisha kichwa.
Q: Hiyo simu umenunua?
A: Hapana nimeitengeneza mwenyewe.
Q: Utakula mboga na nini? A: Mdomo
(A midnight call)
Q: Nimekuamsha?
A: Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.
Q: Gazeti la leo linasemaje?
A: Sijaongea nalo. Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?
A: Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.
Umenyoa nywele?
A: Hapana, nimebadilisha kichwa.
Q: Hiyo simu umenunua?
A: Hapana nimeitengeneza mwenyewe.
Q: Utakula mboga na nini? A: Mdomo
(A midnight call)
Q: Nimekuamsha?
A: Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.
Q: Gazeti la leo linasemaje?
A: Sijaongea nalo. Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?
A: Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.