Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,153
- 13,223
pesa za umma zilitolewa sadaka kwa kilainipesa za umma hapo hazipo na ametoa data
pesa za umma zilitolewa sadaka kwa kilainipesa za umma hapo hazipo na ametoa data
Escrow inatoa picha nzuri jinsi maadili kwenye uongozi nchi hii yalivyoshuka. Watu wamebeba hela kwenye mifuko ya rambo, mabox, lakini viongozi bila haya wanatetea, tena bungeni? Waziri anapata hela toka kwenye kampuni ambayo iko chini ya wizara anayoongoa lakini anasema hakuna tatizo!
kinachoshangaza i uwiani wa mgawo (wapo waliolamnba 1.6b akina tubaijuka na wa 40m akina ngeleja)Sio pesa za umma ???Je hao ambao wamejichotea ndo wamiliki Wa IPTL o??
vox populi vox deiWe tulia kwanza prof amefanya nini la maana? Zaidi ya kudefence matatizo na watawala wenzake? Kama ulikuwa makini kumsikiliza wanachotaka kufanya ni kutumia dola kujilinda. Hotuba yake ni sawa na mwizi amepewa wakati kujitetea mahakamani huku akijua vema jela inamngojea wadhani atafanya makosa?
Escrow inatoa picha nzuri jinsi maadili kwenye uongozi nchi hii yalivyoshuka. Watu wamebeba hela kwenye mifuko ya rambo, mabox, lakini viongozi bila haya wanatetea, tena bungeni? Waziri anapata hela toka kwenye kampuni ambayo iko chini ya wizara anayoongoa lakini anasema hakuna tatizo!
Baada ya kukausha akaunti, leo ndo anaiambia TRA idai kodi! Ndo uprofesa huo?
Mimi jana nilishasema Mbwembwe za ZITTO KABWE jana zinaweza kuonekana pumba wakati wowote
Sasa ni shujaa gani huyo anayetaka kwenda peponi bila kufa? Yaani unasema unataka jamaa waone cha moto wakati huo huo unajificha nyuma ya keyboard? Ndio maana nikakuuliza, au hicho cha moto ndio hizi posts za hapa JF? Watu walio serious na wanachokimaanisha huwa hawaogopi kama mbwa jike kama wewe, hebu rejea Tunisia, Misri, Syria, Hong Kong, USA na kwingineko uone jinsi wanaume wanavyojua kuonyesha vya moto wazi wazi pasipo kuogopa watoa kucha na meno kama wewe! Shame on you for showing how coward you are! Just cover your ass mbwa wee! Kusema ni rahisi, ila vitendo sasa......Ingekuwa hivyo basi Tz ingekuwa kama USA.Mburula ni wewe na nani.......zako,wewe hujui cha moto au sio mtanzania,unataka kuning'oa kucha bila ganzi? utaniweza? jaribu unaweaz ukawa na bahati hiyo
hivi lizaboni na msalani mna akili kweli au mnafanya comedy?
Nilifikiri kuwa issue ni ufisadi!, kumbe issue na this time ni uwaziri mkuu?!, mkidhani itakuwa simple kama ile ya Richmond?!.
This time!, No way!.
Pasco.