Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,159
- 16,237
Bora siku hizi hawaweki mawasilianoikulu@yahoo.com
Ok, 1: kama hatatumia milioni 300 atatumia milioni mia ngapi?
2: kwa kuwa unarekebisha sentensi i.e QATAL kuwa Qatar, je nini maana ya kuonana na WAKUBWA ?
3: huoni kwamba miradi ya wafadhali haileti maendeleo ya kweli ? Mradi wa Mbarali uliendeshwa kwa tija sana na JICA , ukafa
baada ya wao kuondoka, sasa mnaleta SAGGOT, matokeo si yatakua yaleyale?
4: Safari ya JK haitakua ya siku nne Uswisi. itakua ya siku ngapi Uswisi?
5: Kwa nini ameondoka ameacha hali ya mgomo wa waganga ikiwa tete?
Swali la nyongeza: CT Scan Muhimbili inatengenezwa lini?
Ok, 1: kama hatatumia milioni 300 atatumia milioni mia ngapi?
2: kwa kuwa unarekebisha sentensi i.e QATAL kuwa Qatar, je nini maana ya kuonana na WAKUBWA ?
3: huoni kwamba miradi ya wafadhali haileti maendeleo ya kweli ? Mradi wa Mbarali uliendeshwa kwa tija sana na JICA , ukafa
baada ya wao kuondoka, sasa mnaleta SAGGOT, matokeo si yatakua yaleyale?
4: Safari ya JK haitakua ya siku nne Uswisi. itakua ya siku ngapi Uswisi?
5: Kwa nini ameondoka ameacha hali ya mgomo wa waganga ikiwa tete?
Swali la nyongeza: CT Scan Muhimbili inatengenezwa lini?
Tanzania Daima si waandishi makanjanja hata mji au nchi walikuwa hawajui ni upi na ipi, na wahariri nao basi hata hawajui kama inaitwa Qatar na si "Qatal"? hata kompyuta yangu ya nyumbani nikiandika "Qatal" inaniwekea mstari mwekundu chini kuonesha kuwa nimekosea. Nna uhakika hata wamiliki wake ni makanjanja kwani wangekuwa na umakini kidogo wasingeruhusu uozo kama huo uandikwe gazetini.
Gazeti la Tanzania Daima huchapwa na Mwananchi Communications.Tanzania Daima si waandishi makanjanja hata mji au nchi walikuwa hawajui ni upi na ipi, na wahariri nao basi hata hawajui kama inaitwa Qatar na si "Qatal"? hata kompyuta yangu ya nyumbani nikiandika "Qatal" inaniwekea mstari mwekundu chini kuonesha kuwa nimekosea. Nna uhakika hata wamiliki wake ni makanjanja kwani wangekuwa na umakini kidogo wasingeruhusu uozo kama huo uandikwe gazetini.
Davous, nchini Sweden????!!!!. Sweden???!!!! Davous???!!!! I never heard about this City. I know Davos Switzerland.
Waandishi kuanzia magazeti mpaka Ikulu wote mafafa matupu.
Maneno mengi lakini kitu kimoja muhimu hawajakanusha kwa data. JK na msafara wake wanatumia kiasi gani?
hivi kuna marais wengine hasa kutoka africa watahudhuri?kwa nini asingehudhuria waziri ili huyo kikwete atatue matatizo ya madaktari???kweli kufikiri kutumia kalio moja ni noma!
fanya hivi
if 3days = 300m
8days = ?
hivi kuna marais wengine hasa kutoka africa watahudhuri?kwa nini asingehudhuria waziri ili huyo kikwete atatue matatizo ya madaktari???kweli kufikiri kutumia kalio moja ni noma!