Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 93,000
Nyinyi endeleeni kubishana tu, ila nilichopic mimi kwenye habari hii ni kwamba kila Vasco Da Gama ukiona ameruka ughaibuni basi ujuwe hapo ni zaidi ya shilling millioni 300 zinaliwa!! very bad.
kumbe sasa ndio nimeelewa kwa nini Marais wengine wa Africa mashariki wamejiepusha na safari kama hizi zisizokuwa na tija.
kumbe sasa ndio nimeelewa kwa nini Marais wengine wa Africa mashariki wamejiepusha na safari kama hizi zisizokuwa na tija.