Mwisenge1993
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 900
- 573
Hata mimi nilikuwa namuweka katika kundi la watu wenye exposure lakini ila kadri siku zinavyokwenda nagundua ni mweupe kweli hajui kitu zaidi ya kutunga story za uongo.....kuna siku alikuja na uongo wa Magwangala yaani nikajua huyu jamaa hakuna kitu. Unajua Magufuli anawatia uchizi na ambavyo wanasubiri kila kitu wakosoe ndo wanazidi kuonyesha upumbavu wao mpaka miaka kumi iishe atakuwa kafikia level ya matopeni kabisaMkuu mimi nilikuwa najua una exposure kubwa sana....kumbe hamna kitu mkuu?? Teh teh....Basi tuseme hata simple google search imekushinda kweli ukabaini hizo hoja zote za Kitwanga ni ziro kabisa???
How can you buy that Kitwanga story???
Umeniangusha sana kaka...!!