Wewe ni great thinker wa Mwaka 2016! THnx.Hivi hii sio moja ya yale mambo yanayo tengenezwa ku divert attention ya watu ??
Thanks ,Wewe ni great thinker wa Mwaka 2016! THnx.
Umeandika ukiwa umelala nn mbna hueleweki ulichoandikaNINI SERIKALI SIMPAKA UPANDE NA IYO FASTEJET ARDHI
ITANENA
ET inazo 12; flight ya Adis -Dar ya usiku (kila siku) hutumia Q400.Hivi bado ndege za propeller zinatengenezwa mpya?
Inampango wa kuziuza zote na kununua jetET inazo 12; flight ya Adis -Dar ya usiku (kila siku) hutumia Q400.
Subiri zifike story tumechokaMimi nilisemaga kauli za Kitwanga kuhusu zile ndege za Dash 8-Q400 na kampuni ya Bombardier ni stinking garbage na ignorance yenye hadhi ya Summa Cum Laude