MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Wanajeshi wa Ukraine wameukomboa mji mzima ambao Ni wa pili kwa ukubwa Nchini Humo wa Kharkiv baada ya Wanajeshi wa urusi kuukimbia mji huo. Vijiji vingi hasa mashamba yamejaa miili ya Raia na Wanajeshi wa Urusi.
Wakionekana wenye furaha kubwa kupita maelezo,Wanajeshi wa Ukraine wameishukuru Marekani kwa kuwapatia mafunzo na Silaha za kushambulia mbali Jambo lililowafanya kushambulia maeneo yaliyokwisha tekwa na majeshi ya Urusi na kuyafanya yaanze kukimbia miji iliyotekwa.
Wanajeshi hao wamekili kwamba,endapo wangelipata Silaha hizo tangu mwanzo,Basi Majeshi ya Urusi yangeliweza kuteka hata eneo moja la Ukraine.
Haya yanakuja huku Bunge la Senate la Marekani Kuuangusha mswada wa bajeti Mpya ya Kijeshi wa Marekali kwa ajili ya Ukraine. Msaada wa awali wa $ 3.6B umekwisha na hivyo Rais Biden aliliomba Bunge kupitisha kiasi Cha $ 33B kwa ajili ya msaada wa Kijeshi kwa Ukraine. Bunge la Congress lilipitisha kiasi Cha $ 40B kwa ajili ya Ukraine,lakini Bunge la Senate limeutupilia mbali mswaada huo wakitaka Tume uchunguze kwamba matumizi ya msaada wa awali baada ya Wabunge wa REPUBLICAN kupinga Sera ya Biden kwenye Vita vya Ukraine.
Wataalamu wanasema kwamba,Biden na chama Cha Democrat wamepitisha kiasi hicho Cha Pesa cha $ 40B ili Kama Chama Chao kikishidwa kwenye Uchaguzi wa Mwezi November wa Bunge Basi Msaada kwa Ukraine uwepo pale pale bila kutatizwa na WaRepublican ambao maoni yanaonesha yatayadhibiti mabunge yote ya Congress na Senate Jambo litakalo hatarisha uwepo wa msaada wa kijeshi kwa Ukraine. WaRepublican wengi wanapinga Matumizi makubwa ya Kijeshi ya Serikali ya Biden katika kupeleka Silaha Nchini Ukraine.
Institute for the Study of War says evidence suggests Russia moving to withdraw amid strong Ukrainian counteroffensive. Ukraine wins ‘Battle of Kharkiv’; More war crimes charges planned
===========================
Wanajeshi wa Urusi waanza kujiondoa katika Mji wa Kharkiv Nchini Ukraine
Imeelezwa kuwa wanajeshi wa Urusi wameanza kujiondoa katika Mji wa Kharkiv Nchini Ukraine, hatua hiyo imefikiwa baada ya kufanya mashambulizi katika Mji huo kwa wiki kadhaa mfululizo.
Jeshi la Ukraine ndilo lililotoa taarifa hiyo na kuongeza kuwa Urusi wameelekeza nguvu zao katika kufanya mashambulizi katika eneo la Mashariki kunakotumika kusambaza bidhaa kwa Wanajeshi wa Ukraine waliosalia huko.
Waziri wa Ulinzi wa Ukraine, Oleksii Reznikov amesema Ukraine inaingia katika kipindi kigumu cha vita vya muda mrefu, huku Rais Volodymyr Zelenskyy akisema Ukraine inafanya jitihada kubwa kuwaonda wavamizi, lakini matokeo ya vita yatategemea uungwaji mkono wa Ulaya na washirika wengine.
Baada ya kushindwa kuikamata Kyiv tangu walipoanza uvamizi Februari 24, 2022, Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameelekeza nguvu katika mashambulizi ya Donbas, eneo la viwanda ambalo limekuwa likitaja kujitenga kutoka katika utawala wa Ukraine tangu 2014.
Source: Apnews
Wakionekana wenye furaha kubwa kupita maelezo,Wanajeshi wa Ukraine wameishukuru Marekani kwa kuwapatia mafunzo na Silaha za kushambulia mbali Jambo lililowafanya kushambulia maeneo yaliyokwisha tekwa na majeshi ya Urusi na kuyafanya yaanze kukimbia miji iliyotekwa.
Wanajeshi hao wamekili kwamba,endapo wangelipata Silaha hizo tangu mwanzo,Basi Majeshi ya Urusi yangeliweza kuteka hata eneo moja la Ukraine.
Haya yanakuja huku Bunge la Senate la Marekani Kuuangusha mswada wa bajeti Mpya ya Kijeshi wa Marekali kwa ajili ya Ukraine. Msaada wa awali wa $ 3.6B umekwisha na hivyo Rais Biden aliliomba Bunge kupitisha kiasi Cha $ 33B kwa ajili ya msaada wa Kijeshi kwa Ukraine. Bunge la Congress lilipitisha kiasi Cha $ 40B kwa ajili ya Ukraine,lakini Bunge la Senate limeutupilia mbali mswaada huo wakitaka Tume uchunguze kwamba matumizi ya msaada wa awali baada ya Wabunge wa REPUBLICAN kupinga Sera ya Biden kwenye Vita vya Ukraine.
Wataalamu wanasema kwamba,Biden na chama Cha Democrat wamepitisha kiasi hicho Cha Pesa cha $ 40B ili Kama Chama Chao kikishidwa kwenye Uchaguzi wa Mwezi November wa Bunge Basi Msaada kwa Ukraine uwepo pale pale bila kutatizwa na WaRepublican ambao maoni yanaonesha yatayadhibiti mabunge yote ya Congress na Senate Jambo litakalo hatarisha uwepo wa msaada wa kijeshi kwa Ukraine. WaRepublican wengi wanapinga Matumizi makubwa ya Kijeshi ya Serikali ya Biden katika kupeleka Silaha Nchini Ukraine.
Institute for the Study of War says evidence suggests Russia moving to withdraw amid strong Ukrainian counteroffensive. Ukraine wins ‘Battle of Kharkiv’; More war crimes charges planned
===========================
Wanajeshi wa Urusi waanza kujiondoa katika Mji wa Kharkiv Nchini Ukraine
Imeelezwa kuwa wanajeshi wa Urusi wameanza kujiondoa katika Mji wa Kharkiv Nchini Ukraine, hatua hiyo imefikiwa baada ya kufanya mashambulizi katika Mji huo kwa wiki kadhaa mfululizo.
Jeshi la Ukraine ndilo lililotoa taarifa hiyo na kuongeza kuwa Urusi wameelekeza nguvu zao katika kufanya mashambulizi katika eneo la Mashariki kunakotumika kusambaza bidhaa kwa Wanajeshi wa Ukraine waliosalia huko.
Waziri wa Ulinzi wa Ukraine, Oleksii Reznikov amesema Ukraine inaingia katika kipindi kigumu cha vita vya muda mrefu, huku Rais Volodymyr Zelenskyy akisema Ukraine inafanya jitihada kubwa kuwaonda wavamizi, lakini matokeo ya vita yatategemea uungwaji mkono wa Ulaya na washirika wengine.
Baada ya kushindwa kuikamata Kyiv tangu walipoanza uvamizi Februari 24, 2022, Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameelekeza nguvu katika mashambulizi ya Donbas, eneo la viwanda ambalo limekuwa likitaja kujitenga kutoka katika utawala wa Ukraine tangu 2014.
Source: Apnews