majambozi..online???

hivi naomba kwa mnaotumia skype mniambie kwa mfano mtu anaweza kukurecord au akachukua pictures?

ni rahisi mno... kama unataka nikujaribishie nitumie ID yako ya skype, nikurekodi na picha nikuchukue, then nikutumie.
 
Asprin hivi ni wewe ndo umemwambia aache manyinyo wazi uyakague?????????????????????????????????????????????????
 
Asprin hivi ni wewe ndo umemwambia aache manyinyo wazi uyakague?????????????????????????????????????????????????

Nakusubiri kule. Mbona hujibu sms yangu? Nnakuhitaji haraka kabla mambo hayajakuharibikia hapo kifuani.
 
Unajua nini kaizer,
Rose wangu huyu kigeugeu kweli,
leo unampelekea mbilimbi,anakwambia kwani nilikutuma hizo,
kidume unajipanga tena,
unampelekea ule msusa wa kutoka unyanyembe,
unaishia kufyonzwa tu!
Huu uyoga utaniua mwaka huu!!!!lol...


ahh we mwanaume koma eeeeeeee usiniletee inz apa kwa kunijazia ubaya.....daily unanambia huna ela ya uyoga wa mia tano mbona mim skuja kukuanika kwa kaizer?
nataka uyoga mwanaume
no uyoga no me .


na usisahau vtunguuu vbch na ole wako ulete vya pemba km vya jana navtaka vya kigonsera!!!!
 
eti eeeh??? hata mie nahisi hivyo...,hama couple ambazo ziko mbali from eah other wanaofanya huu mchezo wajemeni?:twitch:

Nakumbuka wakati fulani kuna dada tulikuwa tunafanya naye kaz akakutana online na jamaa, wakiwa wanachat, kwa kuwa mtandao kwake haukuwa mzuri, ilibidi yeye awe anazima video, lakini huyo dada alikuwa anamuona. Sasa huyo dada alikuwa anamwambia atoe peni.s nje na aichezee idinde, ili aone kama huyo jamaa ana kitu cha ukweli. Kwa upande mwingine yule dada anaita watu wa ofisini wakaone. Jamaa anadhani anaonwa na mdada tu kumbe ofisi nzima twalikuwa wanamuona kwa anayetaka... Kuna wakati huyo dada alikuwa anamuamuru jamaa ajichue akitumia vaseline, hadi apiz, na lilivyokuwa kumbaf, lijamaa lilikuwa linajipinda hadi linamwaga...
 
Nakumbuka wakati fulani kuna dada tulikuwa tunafanya naye kaz akakutana online na jamaa, wakiwa wanachat, kwa kuwa mtandao kwake haukuwa mzuri, ilibidi yeye awe anazima video, lakini huyo dada alikuwa anamuona. Sasa huyo dada alikuwa anamwambia atoe peni.s nje na aichezee idinde, ili aone kama huyo jamaa ana kitu cha ukweli. Kwa upande mwingine yule dada anaita watu wa ofisini wakaone. Jamaa anadhani anaonwa na mdada tu kumbe ofisi nzima twalikuwa wanamuona kwa anayetaka... Kuna wakati huyo dada alikuwa anamuamuru jamaa ajichue akitumia vaseline, hadi apiz, na lilivyokuwa kumbaf, lijamaa lilikuwa linajipinda hadi linamwaga...


apana
jamaaa hakuw ampumbavu
mpumbavu ni uyo dada aliyekuwa anatoa siri za mwenzake ndan cz jamaa alishamwamin dada kutokana na maongez yao sasa dada ndo alikuwa mjinga kutotunza siri
angaejua km ofc nzima inamchungulia asingefanya ivo
 
ni rahisi mno... kama unataka nikujaribishie nitumie ID yako ya skype, nikurekodi na picha nikuchukue, then nikutumie.

enhee niambie unafanyaje kuchukua hizo picha?? weka hapa kwa faida ya wote wenzangu na mie tusiojua hio kitu...:twitch::twitch:
 
eti eeeh??? hata mie nahisi hivyo...,hama couple ambazo ziko mbali from eah other wanaofanya huu mchezo wajemeni?:twitch:
Hayo mambo yenu ya chumbani huku mna2letea ya nini?je kama ulimvulia 2tahakikishaje?na sisi 2naomba u2wekee avartar uliyopga uchi wa nyama.cjui utaenda kuomba ushauri wapi ok mi naona ume2letea bonge la mzigo yani kesi ya 2mbiri unapeleka kwa nyani?ha ha ha ha.Paulina mamaaaaa
 
apana
jamaaa hakuw ampumbavu
mpumbavu ni uyo dada aliyekuwa anatoa siri za mwenzake ndan cz jamaa alishamwamin dada kutokana na maongez yao sasa dada ndo alikuwa mjinga kutotunza siri
angaejua km ofc nzima inamchungulia asingefanya ivo
Wote wapumbavu Rose, kwa sababu zifuatazo:-
Upumbavu wa yule jamaa ni kumuamini dada wakati hawajuani vizuri na upumbavu wa dada ni kuaminiwa na kuvunja uaminifu.
 
Pole sana Pauline kwa yalokusibu
Kwa kutumia skype mtu anaweza kuchukua screen shots na hata video clips.
Hivo ni vema ukawa makini sana na mambo haya ya .com.

Nilikuwa na rafiki amabaye alikuwa mbali nami ila tulifahamiana sana tu kabla hajaenda huko aliko. Tukawa tunawasiliana online skype na kitabu cha uso na yahoo messenger. Kumbe naye anapenda mambo ya kuoneshana maumbile kwa webcam. Alikuwa akiniomba kila nikichati naye nivue nguo nikawa namsihi kuwa sitaki na asirudie tena kunambia kitu kama hicho. Akaendelea basi nikaamua kublock kwenye .com zote sasa nina amani.

Thanks nahisi, baada ya kuona michango ya watu nahisi tatizo la wengi ni usalama, wengi wanahofia kuishia kuonekana kwenye mitandao mingine,ingekuwa kuna usalama katika kutumia hivyo vitu nahisi wengi hapa...hili lisingetutatiza :twitch::twitch::laugh:
 
ss fikiria akakupiga picha na kuweka kwenye fb, na kuwatumia watu... ohhh dont tell me this, ss wewe bibie unampenda mtu hata hujamwona!? hii inashangaza, wadada bana!!! anyway!! usijaribu mama, kwanini ucisiwe mwaminifu na strong? eti! si unajenga heshima kuu!! nikupe siri wakaka hata kama alikuwa mzinzi vipi ukifika wakati wa kuona utacikia nacema, Aisee nataka mwamke aliyetulia nimuoe!!! ss wewe ambaye umeshavua vua hata online anakupotezea kwa sababu hujatulia.....................

Nawaonea huruma sana wadada zangu, kuna ugonjwa wa kukosa wenza wakati mnawahitaji, sasa akitokea mtu anaonyesah intrest utacikia haaa chemistry zetu zinafanana sana, kumbe analazimishia upendo hapo, kama ni mwanamaombi utakuta uck anamweka mbele za Mungu, Eee Mungu Yuke mkaka tu uciache akaenda, make him my husband! wadada msinirushie mayai viza... wengi wako hivyo

Cha msingi Tulia na Mungu, kuwa mwaminifu kwa Mungu na wanadamu... hebu kataa kuzini hata na akatishia kukuacha eti hujampa unyumba, atenda atarudi na Believe me atajivunia sana kuwa na wewe, na he will be confortable kwamba ulivyokuwa na msimamamo, hata akisafiri atakuwa na imani kubwa na he will be very relaxed. sasa kutu kidogo tu umevua, akikohoa umevua, subiri akuoe... walahi tena, atakuwa nawasiwasi akitoka kidogo tu atacema kimoyomoyo mke wangu atakuwa salama kweli... wasiwasi mingi....

up... nilikuwa napita nikajikuta naandika haya... kwaherini... lakini tunapaswa kuwa Binadamu na sio watu, binadamu anweza kukontrol hisia zake na kuwa na hofu ya Mungu.

kwaherini bye
 
Back
Top Bottom