bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
ahh we mwanaume koma eeeeeeee usiniletee inz apa kwa kunijazia ubaya.....daily unanambia huna ela ya uyoga wa mia tano mbona mim skuja kukuanika kwa kaizer?
nataka uyoga mwanaume
no uyoga no me .
na usisahau vtunguuu vbch na ole wako ulete vya pemba km vya jana navtaka vya kigonsera!!!!
jamani hii mimba changa inamsumbua kweli dear wangu,
Na ndio kwanza miezi miwili na nusu lol...
Na vitunguu tena lol....!!!!!!!!!!!!!!!!!