Majambazi yavamia guest 2 na kupora Tsh 24,314,500/=

Poleni sana wakuu, bahati mbaya sana nchi hii hatuna police wanaojua wajibu wao zaidi ya kushabikia siasa. Wao wanajua kuwapiga raia kwa risasi za moto pale wanapodai haki zao za msingi.
 
Poleni sana wakuu, bahati mbaya sana nchi hii hatuna police wanaojua wajibu wao zaidi ya kushabikia siasa. Wao wanajua kuwapiga raia kwa risasi za moto pale wanapodai haki zao za msingi.

ni kwa sababu wenyewe wamefundishwa WAJIBU katika jamii lakini hwajafundishwa haki zao. Polisi waliowengi hata haki zao hawazijui na maana ya ulinzi wa raia na mali zao hawajui
 
Poleni watu mliovamiwa pa1 na familia kwa ujumla. Masikitiko yangu ni kwamba, hata baada ya kuwa na uhuru kwa 50yrs bado hatuna matawi ya kutosha na hivyo wafanyabiashara kulazimika kulala na kiasi kikubwa hivyo cha hela.
Na hata hao wamiliki wa mabenki bado wanang'ang'ania kufungua matawi dar na kuacha sehemu ambazo katika nyumba 2 tu, watu wanalala na zaidi ya mil. 24. Mameneja masoko wao sijui wanafanya nini huku soko likikosa huduma!?
 
enyi polisi sijui hilo nalo mpaka pinda atishie kutumia jeshi ndipo mtaaamka!!!!
Amantu ganu muraaaaaa...... Oni..... Basi tu kwa vile
 
hi jf.
Nimepokea habari za kusikitisha kutoka sengerema inayoeleza kama ifuatavyo:-

huko kambi ya bugombe kata maisome tarafa kahunda (w) sengerema (m) mwanza.majambazi wapatao zaidi ya wawili wakiwa na silaha smg/sar na mapanga walivamia nyumba ya kulala wageni ya mandela na madini na kupora vitu mbalimbali vikiwa na thamani ya tsh.24,314,500/=

wageni katika nyumba hizo walikuwa wenyeji wa kutoka mikoa ya shinyanga, kigoma, bukoba na nchi ya jirani ya rwanda. Asilimia kubwa ya wageni hao ni wafanya biashara.

Hakuna aliyetiwa nguvuni na jeshi la polisi, na kila mwenye taarifa sahihi juu ya majambazi hawa asisite kuwasiliana na uongozi wa polisi wilaya ya sengerema au polisi mkoa wa mwanza.

Jamani huwa mi najiuliza sana, hawa watu silaha kama hizo wanapata wapi!, Isije ikawa askari zetu hawahawa ndio wanawakodisha!.
 
Back
Top Bottom