Verdy CB
Senior Member
- Mar 19, 2013
- 149
- 66
Majambazi saba yamekamatwa maeneo ya kiluvya wakiwa na sare za akari polisi zenye vyeo, radio call za polisi, vitambulisho vya kipolisi na bunduki. Majina yao sijayasikia
Report hii imetolewa na Suleiman Kova
Source: Kurasa EATV
======
Hivi huwa wanatoa wapi vifaa hivi vyote?
Je wananchi tukiacha kuwaamini maaskari wetu, tutakuwa tumekosea?
Jeshi letu lijipangeee, heshima yake inashuka. Japo ninawapa hongera kwa kuwakamata hawa watu saba.
Report hii imetolewa na Suleiman Kova
Source: Kurasa EATV
======
Hivi huwa wanatoa wapi vifaa hivi vyote?
Je wananchi tukiacha kuwaamini maaskari wetu, tutakuwa tumekosea?
Jeshi letu lijipangeee, heshima yake inashuka. Japo ninawapa hongera kwa kuwakamata hawa watu saba.