Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Ninasikiliza TIMES FM sasa hivi [ clouds nimewabwaga, matangazo mengi sana ], eti kuna majambazi barabara kuu ya Dar - Moro. Na kuna mwanamama mmoja aliuawa juzi na bendi ya Twangapepeta ilinusurika kutekwa pia.
Hivi inawezekanaje kwa barabara KUU kama hii kuwekewa magogo barabarani na kupora watu?
Wabunge na mawaziri si wanapita njia hii kwenda Dodoma? Kikwete hapiti njia hii kwenda Chalinze?
Njia hii tunaweza kusema ndiyo main artery ya nchi hii, yaani nashindwa kuelewa. Mambo mengine yanafanyika nchi ni very mind boggling unashindwa hata uanzie wapi kutafuta explanation.
Hivi inawezekanaje kwa barabara KUU kama hii kuwekewa magogo barabarani na kupora watu?
Wabunge na mawaziri si wanapita njia hii kwenda Dodoma? Kikwete hapiti njia hii kwenda Chalinze?
Njia hii tunaweza kusema ndiyo main artery ya nchi hii, yaani nashindwa kuelewa. Mambo mengine yanafanyika nchi ni very mind boggling unashindwa hata uanzie wapi kutafuta explanation.