LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #21
Ama kweli tunawabeba wasiobebeka humu!
Hv nawe umekuja hapa na kauli ipi?
Eti waziri husika siyo wa ccm?????
Jamani naombeni mwenye jibu ampatie huyu kada dudu!
Sometimes tuweke unafiki pembeni. Kwani waziri husika alikuwa wa CCM?
Hv nawe umekuja hapa na kauli ipi?
Eti waziri husika siyo wa ccm?????
Jamani naombeni mwenye jibu ampatie huyu kada dudu!