LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Habari nilizozipata toka Zanzibar kwa Ndg yangu aliyesafiri leo asubuhi toka Dar es salaam kwenda Zanzibar ni kwmb wakati wakiwa wanakatiza maeneo ya Chumbe kuingia Fumba waliona maiti mbili zinaelea juu ya maji na ndipo wakapiga simu bandari ya Zanzibar na waokoaji wakaenda kuzichukua.
Jamani Ndg zetu bado wapo baharini tangu meli ile ilipozama mpaka leo,na wanasema watu 60 ndio wamepoteza maisha.
Yani ningekuwa na kauli yani ningekuwa na la kusema lakini ndio hivyo tena tunaishia hapa hapa Jf!
Hbr ndio hiyo na nilipopata hbr hii nikasema nibandike hapa jamvini Ndg zangu tuzidi kuona ulegelege wa viongozi wetu!
Source ni kama nilivyotaja hapo juu!
Jamani Ndg zetu bado wapo baharini tangu meli ile ilipozama mpaka leo,na wanasema watu 60 ndio wamepoteza maisha.
Yani ningekuwa na kauli yani ningekuwa na la kusema lakini ndio hivyo tena tunaishia hapa hapa Jf!
Hbr ndio hiyo na nilipopata hbr hii nikasema nibandike hapa jamvini Ndg zangu tuzidi kuona ulegelege wa viongozi wetu!
Source ni kama nilivyotaja hapo juu!