MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hapana siwezikukutosa bana tena na hiyo picha hapo!! Wala sipindui lol
LOL!! ........haaaahhaa!....e bana weeeeeeeeee....kumbeee eeh? jamani usin'tose basi...JF ishan'ponza hii kwa u open mindedness wangu....aaarrrgghhh!....nilidhani maisha ni past, present and future...nithamee jamani,....thiludiiiii tena!
Hahha nimesema tu kile niwazacho mydia!! kuweka life katika mgawanyiko wa saa namna hiyo!! Hapana
Kwa ibada inaeleweka time ziko fixed asubuhi a usiku wakati wa kulala but katikati ya siku hapana weka room ya manouver kidogo