nitakupa mfano wangu,...
(Approx)
5.15am ; naamka kupiga rakaa tein zangu, wajua tena sie wa mwambao salaa salaa ndio inatuamsha
5.45am ; naanza shoto kulia zangu kutoka huku uswazi kuelekea mjini.... ni mazoezi mazuri huku nikibana bajeti ya daladala
6.30am ; nakuwa nishafika maeneo ya kujidai 'sokoni kariakoo' kupapatuana ma agunia ya kauzu toka kigoma
1.00pm ; nakuwa sina mchezo wa mbali na mama lishe, wanaandaa menu yenye chakula bora wale...
5.00pm ; nakuwa nishafunga mahesabu yangu, kidogo kidogo naelekea msimbazi kutafuta usafiri
6.00pm ; mara nyingi mida hii huwa tayari nishafika kwangu, kujimwagia maji...nk
6.40-8.30pm ;nautumia muda msikitini kumshukuru mwenyezi mungu
8.45pm ; nakuwa tayari nyumbani na bi mkubwa (soulmate) tukihadithiana yaliyojiri mchana kutwa,
wakati huo nae anakuwa keshapakua vilivyopikwa, mashaallah bibi yule!
11.00pm ; mashaallah tunajilalia zetu sie, na huu mgao wa umeme kila siku aaahhh... shida ya nini!
Umenipata hapo? ...usinkodolee bana...au wataka doubt my story sasa?
mengi yepi bana, hebu yatolee mfano tuyapigie masaa.
Hahahahha Mbu king'ang'anizi!! Afu hiyo Avatar ndo weye eh?
BAK nawe kumbe u mchokozi eh!! loh ingekuwa kweli ningemwomba bora aweke picha ya Rungu dawa ya Mbu kuliko sura hiyo.....nani atakaporwa?? lol
Mhhhhh! hahahahaha waporaji wengi siku hizi wala hawana aibu wala woga...utaona maandishi, "hebu twende chemba kidogo." lol! kumbe huko ndio uporwaji unafanyika rasmi.
Hahhahh BAK tutapigwa BAN kwa kuchakachua thread ujue.
Wheel of Life .........mwe!! Mada ngumu kweli wkeli afu huyu Mbu sijui atoa wapi haya makitu magumu, utafikiri mtihani wa Moko!!
Naombea isijeikawa hata kwenye maisha ni hivyo.....too principled bana..hata huyo Soulmate wake atamkimbia Ebo!!
Aamah! Asa mie niidoubt story yako kwa nini nawe bwana?? Nakuonea (mioneeni) wivu kwa kweli.
Sasa marafiki/ndugu wengine wanaangukia wapi? au ndo likizo kwa likizo au weekends?
Hahahahha Mbu king'ang'anizi!! Afu hiyo Avatar ndo weye eh?
Hahhahh BAK tutapigwa BAN kwa kuchakachua thread ujue.
Wheel of Life .........mwe!! Mada ngumu kweli wkeli afu huyu Mbu sijui atoa wapi haya makitu magumu, utafikiri mtihani wa Moko!!
Naombea isijeikawa hata kwenye maisha ni hivyo.....too principled bana..hata huyo Soulmate wake atamkimbia Ebo!!
Mie akha halinpi tabu gurudum hili.
Nalizungusha kisawasawa maana wa ubani akienda huku nami naenda kule.Ivo twagawana 50/50 na maisha yaenda.
Kwanini watu mwang'ang'ania kila mtu azungushe la kwake?? Zungusheni kwa zamu eti sijui kama mwanfahamu?
Shauri yenu!
Mie akha halinpi tabu gurudum hili.
Nalizungusha kisawasawa maana wa ubani akienda huku nami naenda kule.Ivo twagawana 50/50 na maisha yaenda.
Kwanini watu mwang'ang'ania kila mtu azungushe la kwake?? Zungusheni kwa zamu eti sijui kama mwanfahamu?
Shauri yenu!
LOOOOOLLLL!!!....kwani niaje mpaka ukamdhania yeye ndio mtuhumiwa namba moja? ha ha ha!
Si nilishatoa "ushahidi" wangu juzi Mkuu? hahahahah lol! au unataka niurudie Tafuta ile methali ya BaK isemayo, "Mwambao huu na Mwambao ule, raha tupu."
...Prince Albert of Monaco and Charlene Wittstock marry amid rumours that the former Olympic swimming star tried to call off the wedding at the last minute.
Mbu na BAK mmeniacha solemba..............Haya bana yatosha
Mbu nakuona ka uko too principled bana ......yaani una pre-arranged life!!
Mbu na BAK mmeniacha solemba..............Haya bana yatosha
Mbu nakuona ka uko too principled bana ......yaani una pre-arranged life!!
Wewe bwana lazima utakuwa mchawi.........haiwezekani pale ninapokukumbuka, kuwaza unatokea....................... sasa hii wheel of life naona inaaply kwa wale wenye stable relationship..una mke/mume au stable gal/guy.....kwka wale wanatafuta je?? uwii Mbu atatuua shem.....sijui tuhamie chamber?Pre arranged? umeona eeh! Mkuu Mbu hata mimi nimehisi hii kitu na kama mimi na mjukuu mtiifu tumewaza sambamba basi nazani kuna ureality somehow! (hehehe najipa ujiko kidogo). To know exactly where will u be tomorrow 5:45 hii inasound more of commitment than timing.
Kama nimechemsha shem atafafanua na kunidefend lol
Pre arranged? umeona eeh! Mkuu Mbu hata mimi nimehisi hii kitu na kama mimi na mjukuu mtiifu tumewaza sambamba basi nazani kuna ureality somehow! (hehehe najipa ujiko kidogo). To know exactly where will u be tomorrow 5:45 hii inasound more of commitment than timing.
Kama nimechemsha shem atafafanua na kunidefend lol