WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Huwa nasikia mara nyingi watu wakisema na hata kuimba ni nini. Msisitizo umekuwa kuweka vigezo vya kijumla kwa mwanamke, sijaona kukiwa na msisitizo wa vigezo vya jumla kwa wanaume.
Ninajua kila mwanamke anakuwa na vigezo vyake binafsi vya kuchagua mume anayefaa.
Naomba waungwana kujuzwa endapo kuna vigezo vinavyoweza kuangaliwa na wanawake kupima uzuri wa mume.
Nawasilisha.
Ninajua kila mwanamke anakuwa na vigezo vyake binafsi vya kuchagua mume anayefaa.
Naomba waungwana kujuzwa endapo kuna vigezo vinavyoweza kuangaliwa na wanawake kupima uzuri wa mume.
Nawasilisha.