wa mbekenyera
Senior Member
- Jun 20, 2014
- 134
- 49
usemi huo ulikuja baada ya kubainika kuwa wanawake wengi ni pasua kichwa!
Huwa nasikia mara nyingi watu wakisema na hata kuimba ni nini. Msisitizo umekuwa kuweka vigezo vya kijumla kwa mwanamke, sijaona kukiwa na msisitizo wa vigezo vya jumla kwa wanaume.
Ninajua kila mwanamke anakuwa na vigezo vyake binafsi vya kuchagua mume anayefaa.
Naomba waungwana kujuzwa endapo kuna vigezo vinavyoweza kuangaliwa na wanawake kupima uzuri wa mume.
Nawasilisha.
kwenda bank ku deposit na kutoaMwanaume, waume wa wake zetu, ni kama sisi. Tunaojua uzuri wa mke kuwa ni tabia. Tabia hapa ina maana ni pamoja na kumuelewa mmeo kwa namna zote.
Kila mwanamme yuko tofauti, ndiyo maana hakuna kitu kama uzuri wa mme ni kitu fulani...! Mwanamke ni DEPENDENT parameters na mwanamme ni FACTOR (deciding).
Kwa hiyo acha maneno yako kabisa ya uzuri wa mwanamme!
Umenikunahaswaaa, bamia, mbilimbi, kapenseli kanakokaribia kuisha havina nafasi hata kama wewe ni HB