Nimeolewa, ehe..Lorain, wewe umeolewa, umechumbiwa, una boyfriend, au unatafuta?
Nimeolewa, ehe..Lorain, wewe umeolewa, umechumbiwa, una boyfriend, au unatafuta?
Nimeolewa, ehe..
Mbona wakuwa mkali hivyo mama?
Huwa nasikia mara nyingi watu wakisema na hata kuimba ni nini.Msisitizo umekuwa kuweka vigezo vya kijumla kwa mwanamke, sijaona kukiwa na msisitizo wa vigezo vya jumla kwa wanaume.
Ninajua kila mwanamke anakuwa na vigezo vyake binafsi vya kuchagua mume anayefaa.
Naomba waungwana kujuzwa endapo kuna vigezo vinavyoweza kuangaliwa na wanawake kupima uzuri wa mume.
Nawasilisha.
Nimerifaa hiki kipengele na moja ya mume wa shoga angu ndo maana nikawa natilia msisitizo.
Huwa nasikia mara nyingi watu wakisema na hata kuimba ni nini.Msisitizo umekuwa kuweka vigezo vya kijumla kwa mwanamke, sijaona kukiwa na msisitizo wa vigezo vya jumla kwa wanaume.
Ninajua kila mwanamke anakuwa na vigezo vyake binafsi vya kuchagua mume anayefaa.
Naomba waungwana kujuzwa endapo kuna vigezo vinavyoweza kuangaliwa na wanawake kupima uzuri wa mume.
Nawasilisha.
Mwanaume mzuri ni mwenye sifa hizi ukiona hana achana nae usilazimishe tatizo la wanawake wengi iwa mnalazimisha mambo ndo maana mbeleni yanawashinda.
1.BED ROOM FACTOR
2.FINANCIAL FACTOR
3.RELATIVES je ndugu zake wana kukubali?
Nyie zungukeni lakini mwanaume bora anapatikana kwa vigezo hivyo hapo juu.Akimiss kimoja achana nae ukisema mbele kwa mbele baadae mnashindana mala mangumi mateke.
Uzuri wa mume ni upendo wa dhati kwa mkewe-na familia yake. Ni upendo ndio utamfanya awe na power to support familia.
Ni upendo ndio utampa nguvu ya kuprotect familia yake.
Ni upendo ndio utamfanya ampende mkewe na kumwamini.
Ni upendo ndio utamshibisha mume kwa penzi la mkewe
Ni upendo ndio utamzuia mume kumsaliti mkewe.
Ni upendo ndio kila kitu na mengine yote yatafuata.
Uzuri wa mke tabia na uzuri wa mume kupendwa.
Ukipendwa wewe mke waweza lala njaa na furaha moyoni.
Ukipendwa mwili wako unapata uwezo wa kutoa peenzi la shibe.
Ukipendwa hata utongozwe vipi hutongezeki.
Ukipendwa unapata furaha ya asili ambayo ndio esence ya life.
Ukipendwa unapata nguvu za ajabu kumfanya mumeo afanikiwe.
Hivyo amri kuu kuliko amri zote kwa wanandoa ni upendo.
NDUGU YANGU!
...kwa ufahamu wangu, (kumradhi) wanawake wengi nimewasikia wakiwasifu wanaume kwa vigezo viwili;
1. Kwa uzuri wa sura/utanashati wake,
2. kwa uwezo/pesa zake.
...sasa labda WoS nawe useme kigezo gani utumiacho kwanza.
CD umetoa kali...Mwaume pesa jamani, hata ungekuwa handsome vipi ukajua kupenda kuliko adam na eve without money you are useless! mtashangaa sana nikisema hivi, lakini habari ndiyo hiyo.
Hapendi mtu ni "POCHI yako"
Mwaume pesa jamani, hata ungekuwa handsome vipi ukajua kupenda kuliko adam na eve without money you are useless! mtashangaa sana nikisema hivi, lakini habari ndiyo hiyo.
Hapendi mtu ni "POCHI yako"
CD umetoa kali...
Ina ukweli ndani japo watu wengi hawapendi kusema au kukubali.
Mwaume pesa jamani, hata ungekuwa handsome vipi ukajua kupenda kuliko adam na eve without money you are useless! mtashangaa sana nikisema hivi, lakini habari ndiyo hiyo.
Hapendi mtu ni "POCHI yako"
Wanaume wa leo wakishagundua mama anapenda pochi la mzee na hana mapenzi ya dhati kwa mwanaume huyo basi na wao hawakawii kuingia mitini...