Nitashukuru mkuu nikiiona hiyo picha ya JK akiwa ndani ya gari lake binafsi!
You mean hana gari?
Hivi kweli mnaamini Rais wa Taifa lenye nguvu kama Iran analala chini ooh please...
...Jamaa katika mali alizokuwa anamiliki alikuwa na Vokswagen hata alipopata urais bado baada ya kazi ndio anatumia kupigia misele.....Habari hii imenifanya nimkumbuke former president wa Burkina Faso, THOMAS SANKARA, alikuwa na mambo kama hayo!
Nilipata notification kuwa umeni quote,umeiondoa?Unantisha?We ni nani?Kuwa makini.
Nilipata notification kuwa umeni quote,umeiondoa?Unantisha?We ni nani?
Nimeondoa kitu gani?soma posti #61 niliyokujibu.Wewe ndo umeondoa,nimekuta notification kuwa umeniquote,nikatizama sikuona kama ulini quote,badala yake nimekuta hilo bandiko bila kuonyesha umemquote nani ukisema "kuwa makini"Nikuulize wewe, vipi mbona umeiondoa? au ni ki moderator kinachokuja kwa njia mbadala? scared of your own shadow?
mbona unjichanganya, jahannam ni nini na moto ni nini?sasa mkuu hapa duniani tunapita tunaelekea wapi?? au jehunum ya moto??
Nimeondoa kitu gani?soma posti #61 niliyokujibu.Wewe ndo umeondoa,nimekuta notification kuwa umeniquote,nikatizama sikuona kama ulini quote,badala yake nimekuta hilo bandiko bila kuonyesha umemquote nani ukisema "kuwa makini"
Hutumii akili hata kidogo.Eti "scared of my own shadow", scared over what?kivuli wewe?
Wewe ndo shadow siyo mimi mr "Zombie".
Nishatoa mchango hapa,i'm moving on kwenye other issues.Ahsante, Mr. NOT scared of your own shadow. Tujadili mada, mimi nakubali kushindwa personal attacks. Hunijui sikujui, tunagombania maandiko?