Maisha Binafsi ya rais wa Irani: Wanasiasa wa Tanzania tujifunze

Nyerere aliagiza Mercedes Benz za kifahari enzi hizo 77 kwa ajili ya kupokea wageni 77 akawajengea na hoteli mpya inaitwa 77 yenye vyumba 77. kwa ajili ya mkutano wa siku tatu tu.

Unafananisha mbingu na ardhi?
Usikurupuke..Unajuwa maana ya "kiasi flani"?Hiyo mbingu na ardhi umeitumia kwasababu mmoja ni muajemi na mwingine mwafrika mtanzania?
jmushi1 said:
Ni kama alivyokuwa Nyerere hapa kwetu kwa kiasi flani.

Halafu si tunazungumzia maisha binafsi ya viongozi wa umma?Unaona jinsi ulivyo mkurupukaji kama lirobot lisilokuwa na ubongo wa kufikiri?Unazungumzia benzi alizowapa watu 77(i doubt ukweli wa habri hiyo),halafu ndo unasema ni ya kwake?

Umekariri mbingu na ardhi kama vile hakuna in btn?Yale yale aliyoyasema mchangiaji mmoja humu kuwa umekariri tu usiku na mchana bila kufahamu kuwa kuna mawio na machweo.

Pole sana kama uko kazini.You need a vacation, "sytem malfunction"?
 
Huyu jamaa amenigusa sana, hatofautiani sana na Mahatma Gandhi. Kwa dakika ambazo huu uzi umekaa jamvini na sioni maoni inamaanisha wanajamii wameshikwa na butwaa, hawajui hata cha kusema. Kwa kuongezea ni kiongozi asiyeyumba wala kuyumbishwa na mwenye msimamo. Gadafi alianza hivi, kwa mfano kuishi kwenye hema lakini mwisho wa siku ikawa vinginevyo.

Kiukweli, am speechless. Huyu jamaa namkubali sana. Lakn mtu anaweza kuwa na maisha kama haya iwapo ana 'hofu ya Mungu. Ndio maana miaka ya 90s kuna kiongozi hapa Tanzania alikuwa anasema ktk kampeni zake kwamba tunahitaji hofu ya Mungu, kwa hyo ili kuepukana na maovu kama rushwa,ubadhilifuna ufujaji wa mali ya umma,tunahitaji ''moral rehabilitation''. Naunga mkono hilo, viongozi wetu wanahitaji moral rehabilitation ili waishi maishi kama haya ya Comrade Ahmedinejad.
 
Hamna atakayekubali hiyo hali hamtapata viongozi maana sisi wabongo tunapenda sana mambo ya fedha na anasa!

Kuwa kiongozi ni synonymous na kuwa na maisha mazuri,jumba zuri, posh cars, bata nk

''Miafrika Ndivyo Tulivyo'' naipenda sana hii signature ya Mkuu mmoja hapa.
Sio Tanzania tu Mkuu, ni Africa yote viongozi wanaishi so lavishly. Angalia kutoka Egypt hadi Capetown,kila kukicha hawa jamaa wanahomola utajiri wa nchi zao na kujinufaisha.
 
Habari hii imenifanya nimkumbuke former president wa Burkina Faso, THOMAS SANKARA, alikuwa na mambo kama hayo!

Ooh yes, aliwagawia watendaji wake baiskeli na pikipiki. Na ndio maana wakammaliza kwa sbb alikuwa anawazibia kuishi kifahari km wanavyotaka wao.
 
Ni kweli kuwa haya yanawezekana, jambo la msingi ni kupata mahitaji ya muhimu tu na kuyapata kwa muda
 
Tuweke hii kwenye katiba kabla ya rais na mawaziri kuapishwa, pia mafao ya wabunge na ma vx, v8, etc. yakatiliwe mbali.
Under his authority whenever he appoints any minister to his post he gets a signed
document from him with many points particularly highlighting that he shall remain poor
and that his personal and his relatives accounts will be watched and the day he leaves
the ministry shall be with dignity, and therefore it is not lawful for him or his relatives to
take any advantage of his office. First of all he declared himself for all the 'Big' wealth
and the property he owned was a Peugeot 504 car, Model 1977, an old small house
inherited from his father 40-years ago in one of the poorest zones in Tehran . His
accounts with a zero balance and the only money comes in to his a/c was from his
salary from the university as a lecturer with an amount of
US$ 250 only.


Na hapo kwenye red tupendekeze hivyo hivyo kwenye katiba mkuu Majige ?
 
sasa anapata raha gani kuishi hivyo? Mbona aliiba kura ? Hilo hamjaliona? Hakuna mtu mchafu kama huyu jamaa na ana walinzi kibao aliyewadanya kama jamaa anatumi pegout ni muongo aweke hizo picha tuone
 
sasa anapata raha gani kuishi hivyo? Mbona aliiba kura ? Hilo hamjaliona? Hakuna mtu mchafu kama huyu jamaa na ana walinzi kibao aliyewadanya kama jamaa anatumi pegout ni muongo aweke hizo picha tuone


Mkuu hapo kwenye Pegeout nadhani wanamaanisha ni mali yake halisi anayoimiliki lakini si gari za serikali.So kuipata picha akiwa yupo kwenye gari yake binafsi inaweza ikawa ni ishu,nikuulize swali la kizushi,umeshawahi kumuona JK akiwa kwenye gari yake binafsi?
 
Ndio. Tena akawa anamgawia mtoto mmoja peremende njiani. Ama unataka hadi niiweke hapa? Kwa hiyo huyu jamaa kwa nini aliiba kura kwenye uchaguzi uliopita na akawa anaua watu kwa uroho wa madaraka kama Mubarak.
 
May I add the below link from UN on Good governance based on justice and democracy and encouraging knowledge based on Islam: ( I have pasted the text from the link if it does not work)
United Nations on Imam Ali Ibn Abi Talib

The United Nations has advised Arab countries to take Imam Ali bin Abi Talib (AS) as an example in establishing a regime based on justice and democracy and encouraging knowledge.The UNDP in its 2002 Arab Human Development Report, distributed around the world, listed six sayings of Imam Ali (AS) about ideal governance.They include consultation between the ruler and the ruled, speaking out against corruption and other wrong doings, ensuring justice to all, and achieving domestic development.The UNDP said most regional countries are still far behind other nations in democracy, wide political representation, women's participation, development and knowledge.Imam Ali bin Abi Talib (AS)'s sayings:The UNDP quoted the following sayings of Imam Ali (AS) in its 2002 Arab Human Development Report: 1. "He who has appointed himself an Imam (ruler) of the people must begin by teaching himself before teaching others. His teaching of others must be first by setting an example rather than with his words, for he who begins by teaching and educating himself is more worthy of respect than he who teaches and educates others."2. "Your concern with developing the land should be greater than your concern for collecting taxes, for the latter can only be obtained by developing; whereas he who seeks revenue without development destroys the country and the people."3. "Seek the company of the learned and the wise in search of solving the problems of your country and the righteousness of your people."4. "No good can come out in keeping silent to the government or in speaking out of ignorance."5. "The righteous are men of virtue, whose logic is straightforward, whose dress is unostentatious, whose path is modest, whose actions are many and who are undeterred by difficulties."6. "Choose the best among your people to administer justice among them. Choose someone who does not easily give up, who is unruffled by enmities, someone who will not persist in wrong doings, who will not hesitate to pursue right once he knows it, someone whose heart knows no greed, who will not be satisfied with a minimum of explanation without seeking the maximum of understanding, who will be the most steadfast when doubt is cast, who will be the least impatient in correcting the opponent, the most patient in pursuing the truth, the most stern in meting out judgment, someone who is unaffected by flattery and not swayed by temptation and these are but few."
 
PhD za tigopesa na kupenda majina yatanguliwe na vivumishi vizito. Hapa ndio Bongo bwana.
 
Pesa inawatia wazimu viongozi wa Africa wanabaki kucheka mfululizo b'se wana uhakika 'Swiss Bank' salio linasoma ile mbaya.

Halafu kiongozi akishakuwa na majivuno ya uswahilini hakuna jipya atakalofanya bila kujitakia makuu.
 
Ndio. Tena akawa anamgawia mtoto mmoja peremende njiani. Ama unataka hadi niiweke hapa? Kwa hiyo huyu jamaa kwa nini aliiba kura kwenye uchaguzi uliopita na akawa anaua watu kwa uroho wa madaraka kama Mubarak.



Nitashukuru mkuu nikiiona hiyo picha ya JK akiwa ndani ya gari lake binafsi!
 
Back
Top Bottom