Ngolewasima
Member
- Apr 4, 2017
- 51
- 112
Mwaka huu kweli masharti ni mengi mpaka napatwa na wasiwasi mkubwa.
Nimejaribu kupitia utaratibu wa utoaji wa mkopo kwa waombaji {Applicants} wa 2018/2019 kuna vigezo ambavyo ninaona hujuma juu ya watoto wa Maskini Kujiunga elimu ya juu {Chuo kikuu}.
Nimesoma kipengele cha sita kinaeleza kuwa mtoto wa mtumishi wa umma {Mtumishi ambae ametajwa kwenye kanuni za utumishi wa umma} mfano Mwalimu,mwanasheria,Muhasibu hatoruhusiwa kuomba mkopo! Yaani haruhusiwi kabisa kuomba maana yake hana vigezo!
Swali la kujiuliza Dogo tu,Asilimia kubwa ya vyuo vyetu Ada zake ni kuanzia 700,000 hapo bado Pesa za
.
~Gharama za chakula na malazi {meals & Accomodation}
~ Gharama za Vitabu na viandikwa {Stationary}
~Mahitaji maalumu ya kitivo..{special faculty}
~Ghrama za utafiti {Research}
Gharama za mafunzo ya vitendo {Field}
Je wazazi hawa amabo wana mshahara amabo haufiki walau Milioni moja. Wanao uwezo wa kuwasomesha hawa watoto wao?? Nafikiri watoto hawa wana hatihati ya kupoteza/Kukosa fursa ya kujiunga na Masomo ya elimu ya juu.
Pia nimeona kigezo cha utoaji kuwa : waombaji/Applicants wamegawanywa katika makundi matatu yaani Ualimu wa sayansi,uhandisi,sayansi ya wanyama.{kundi la kwanza}
Programu za msingi za sayansi,Programu ya sayansi ya Ardhi {kundi la Pili}
.
Kundi la tatu ni sanaa {Maana yake ni non priority} swali langu ni moja tu,,,,Je wanafunzi wanaochukua michepuo ya sanaa kama hawana maana {Serikali haina uhitaji nao} kwa nini wasifute hiyo michepuo? Tunawaruhusu watoto hawa wanasoma harafu mwishoni tunatumia kigezo cha #Uhitaji_na_Programu. This is totally unfair.
.
Ninaamini hapa kwa watoto waliosoma michepuo ya sanaa na ni watoto wa masikini serikali ya awamu ya tano inawapokonya haki yao ya kujiunga na elimu ya juu.{University level}
Mwisho,Nimeona Bodi ya mkopo imetoa Agizo kwa Wakala wa usajili ufilisi na Udhamini {RITA} Kuandaa utaratibu wa uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa/Vifo kwa waombaji upya na kila Mwombaji/Applicants anatakiwa kulipia shilingi elfu tatu za kitanzania Tsh.3,000 .
Je inamaana RITA kipindi wanampatia mtahiniwa cheti cha kuzaliwa walikuwa hawako makini? Kuna jambo limebadilika? Oky fine tufanye wanahitaji kujiridhisha na uhalali wa taarifa za Mwombaji ,Tsh elfu tatu ya nini? .....Huu siyo ufisadi??
Poleni wadogo zangu kwa kusoma kipindi cha uhakiki na kipindi cha hapa Kazi tu!
Nimejaribu kupitia utaratibu wa utoaji wa mkopo kwa waombaji {Applicants} wa 2018/2019 kuna vigezo ambavyo ninaona hujuma juu ya watoto wa Maskini Kujiunga elimu ya juu {Chuo kikuu}.
Nimesoma kipengele cha sita kinaeleza kuwa mtoto wa mtumishi wa umma {Mtumishi ambae ametajwa kwenye kanuni za utumishi wa umma} mfano Mwalimu,mwanasheria,Muhasibu hatoruhusiwa kuomba mkopo! Yaani haruhusiwi kabisa kuomba maana yake hana vigezo!
Swali la kujiuliza Dogo tu,Asilimia kubwa ya vyuo vyetu Ada zake ni kuanzia 700,000 hapo bado Pesa za
.
~Gharama za chakula na malazi {meals & Accomodation}
~ Gharama za Vitabu na viandikwa {Stationary}
~Mahitaji maalumu ya kitivo..{special faculty}
~Ghrama za utafiti {Research}
Gharama za mafunzo ya vitendo {Field}
Je wazazi hawa amabo wana mshahara amabo haufiki walau Milioni moja. Wanao uwezo wa kuwasomesha hawa watoto wao?? Nafikiri watoto hawa wana hatihati ya kupoteza/Kukosa fursa ya kujiunga na Masomo ya elimu ya juu.
Pia nimeona kigezo cha utoaji kuwa : waombaji/Applicants wamegawanywa katika makundi matatu yaani Ualimu wa sayansi,uhandisi,sayansi ya wanyama.{kundi la kwanza}
Programu za msingi za sayansi,Programu ya sayansi ya Ardhi {kundi la Pili}
.
Kundi la tatu ni sanaa {Maana yake ni non priority} swali langu ni moja tu,,,,Je wanafunzi wanaochukua michepuo ya sanaa kama hawana maana {Serikali haina uhitaji nao} kwa nini wasifute hiyo michepuo? Tunawaruhusu watoto hawa wanasoma harafu mwishoni tunatumia kigezo cha #Uhitaji_na_Programu. This is totally unfair.
.
Ninaamini hapa kwa watoto waliosoma michepuo ya sanaa na ni watoto wa masikini serikali ya awamu ya tano inawapokonya haki yao ya kujiunga na elimu ya juu.{University level}
Mwisho,Nimeona Bodi ya mkopo imetoa Agizo kwa Wakala wa usajili ufilisi na Udhamini {RITA} Kuandaa utaratibu wa uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa/Vifo kwa waombaji upya na kila Mwombaji/Applicants anatakiwa kulipia shilingi elfu tatu za kitanzania Tsh.3,000 .
Je inamaana RITA kipindi wanampatia mtahiniwa cheti cha kuzaliwa walikuwa hawako makini? Kuna jambo limebadilika? Oky fine tufanye wanahitaji kujiridhisha na uhalali wa taarifa za Mwombaji ,Tsh elfu tatu ya nini? .....Huu siyo ufisadi??
Poleni wadogo zangu kwa kusoma kipindi cha uhakiki na kipindi cha hapa Kazi tu!