Mahojiano ya polisi na Sheikh Ponda Issa Ponda

Katika ujio huu wa maaskofu hapa Mbagala, hatukuja hapa kufanya haya yafuatayo:

  1. Hatukuja kuwahukumu hata kama hatukubaliani na wanaokashifu dini za wenzao, wawe na ruhusa kutoka mamlaka zilizo juu au kama wanajituma wenyewe.
  2. Hatukuja kuwahukumu hata kama hatukubaliani na wanaodhalilisha misahafu ya dini; wawe wametumwa, kutegeshewa na mamlaka zozote au kwa misukumo ya utashi wao binafsi ili kupata kisingizo cha kugombanisha madhehebu ya din
  3. Hatukuja kuwahukumu hata kama hatukubaliani na wanaochoma makanisa na kuiba mali za makanisa kwa kisingizio cha kumtetea Mungu. Kisasi cha dhambi hiyo tunamwachia Mungu mwenyewe aliyedhihakiwa na walionajisi madhabahu yake.
Wapendwa wana KKKT na watukuka sana, wana na mabinti wa Tanzania ya Julius Kambarage Nyerere; kilichotokea Mbagala katika wiki ya kuadhimisha siku ya Baba wa Taifa, ni kebehi si kwa Baba wa Taifa bali ni kebehi kwetu sisi wenyewe tunaokalia kiti alichokalia Baba wa Taifa. Yeye amelala baada ya kazi njema. Apumzike kwa amani na tunu zake zifufuke katika majivu haya yaliyotokana na kuchomwa kwa amani na mshikamano wa Tanzania aliyoijenga.
Dalili za mateso ya kimbari kama ilivyo kwa mateso ya kanisa; zilianza kitambo na hazikushughulikiwa na waliomrithi Baba wa Taifa. Dalili hizo ni kama hizi zifuatazo:
  • Uchochezi wa wazi kuwa taifa hili linaendeshwa na unaoitwa "mfumo Kristo", na kuwa Baba wa Taifa alaaniwe kwa yote aliyolitendea taifa hili.

  • Ubishi usio na tija juu ya idadi ya waumini wa dini mbalimbali hapa nchini na hata kudiriki kushawishi na kugomea zoezi la sensa ya watanzania.
Malasusa na Kundi lake na Maaskofu wa KKKT kulikuwa hakuna haja ya kutaja mambo ya Baba wa Taifa au mabinti wa Nyerere kwani Nchi hii imeshapitia maRais wa3 zaidi na mambo km haya yametokea tukianzia na purukushani za KKKT meru zilizomalizwa na Augustino L. Mrema au ile ya KKKT Same na Mwanga ya Cleopa Msuya hawakumtaja Baba wa Taifa.
Mbona Kilaini alikuwa akibadilika kutokana na hali ya hewa na utawala.
Bado naamini hamjatuliza hizo vuguvugu za Mbagala hasa huyo kijana wa Anglican na vurugu za waislam sanasana mtachochea wakati hapohapo Temeke vurugu za Askofu Mwangwamba tulizisikia
Hivyo kulikuwa hakuna haja ya kutoa tamko lenu tofauti na lile la Askofu wa Anglican kuomba msamaha juu ya kadhia yote ktk Al Jazeera kwani kipengele km hichi Daima tukumbuke kuwa, "KUSHINDANA KWETU SISI SI JUU YA DAMU NA NYAMA BALI NI JUU YA FALME NA MAMLAKA, JUU YA WAKUU WA GIZA HILI, JUU YA MAJESHI YA PEPO WABAYA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO" (Waefeso 6: 12).

Mm ni Mtanzania kipindi km hiki muwe na msemaji mmoja la sivyo Maaskofu ni wengi *nimemuona Askofu Shao wa dayosisi ya KKKT Kskz naye katoa yake ktk EATV 5 bado wengi watatoa na yao km wale Viongozi wa Dini waliouunga mkono mgomo wa MaDr na baadaye kuukana Namaanisha kesho sala ya Ijumaa wataingia mitaani sioni umuhimu wa kila mtu kutoa hotuba yake
Ukisikia akili ukwaju ndio hizi, wewe kama nani uwapangie maaskofu namna ya kutimiza majukumu yao? ningekuona wa maana kama ungewaambia Waislamu wamsikilize Mufti wao ndio kiongozi rasmi wa Waislamu kuliko huyo muhuni Ponda anayeendesha taasisi ambayo hata haijasajiliwa kwa ajili ya kupata misaada ya waarabu.
 
Ngongo umesomeka..hapa tunajifunza kwamba makanisa kuchomwa, wachungaji kuchinjwa kama kuku,mauwaji yanaoendelea Arumeru na nyamongo silolote katandikwa risasi mzinzi mmoja wizara nzima imehamishia macho huko..naichukia ccm na ichukia serikali ya ccm.
 
Last edited by a moderator:
Ikumbukwe kwamba huyu anayejiita sheikh ponda,si mtu mgeni katika tasnia ya fujo za kidini hapa nchini.Baadhi ya matukio aliyowahi kufanya hapo awali ni kama lile la msikiti wa mwembe chai,ambalo waislamu wengi walikufa,lakini Ponda na waasisi wenzake wa fujo hizo wengi wao wapo hai mpaka leo.Pia matukio ya utekwaji na mapinduzi ya uongozi katika misikiti mingi hasa hapa Dsm,iliasisiwa na yeye pamoja wenzake wanaomuunga mkono.

Ponda issa Ponda ni gaidi aliyepata mafunzo ya ugaidi, kati ya mwaka 1993-1996 huko pashawaar(pakistan) ushaidi upo hasa wa picha za bwana Ponda akiwa mafunzoni,pia imebainika kuwa ponda aliwasaidia baadhi ya magaidi waliolipua ubalozi wa marekani(Tanzania)mwaka 1998,kwa kuwahifadhi misikitini,hivyo basi serikali ya marekani ipo katika hatua za mwisho za kiuchunguzi.Timu ya wataalamu wa kijeshi ipo karibuni kuja ili kuweza kumuhoji vizuri ndugu ponda,moja ya sababu za ponda kupewa kesi ngumu,ili akose dhamana

Source:Chanzo cha ndani jeshi la polisi
 
Kazi ipo,ngoja tusubiri yatakayojiri,wanaofuata mkumbo ndio watakapopatwa na butwaa wanaambatana na mtu wasiyemjua vizuri!
 
Mnampandisha chati bure tu! Huyu ni mshamba flan tu anayetumia wanzie kufanya fujo. Hakuna cha gaidi wala nini!
 
Lazima atakuwa alipata mafunzo tuu huwezi ukawa na confidence kiasi kile
 
si waondoke nae wakamhojie Guantanamo? hivi yule mzanzibar aliekamatwa pakistan yupo wapi?
 
Ama kwa hakika majina yanasadifu akili na uwezo wa mtu, na hapo nimeona akili yako ya Ukwaju.

Kanisa lililochommwa moto na kuporwa ni la KKKT sasa wewe unashangaa nini kwa wakuu wa kanisa hilo kutoa statement?

Kama Dr. Mokiwa aliomba radhi kwa kitendo cha mtoto kukojolea msahafu hiyo haina maana kwamba yeye ndiye msemaji wa wakristo wote, isipokuwa alionyesha tu hekima na busara za kiaskofu ambazo wenzetu huko kwenu hatujawahi kuona busara zenu za kisheikh, kiulamaa ama kimaalim zaidi ya kuhamasisha chuki, magomvi na vurugu kwa wakristo.

Natambua propaganda na chuki mnazopandikizwa huko kwenu na gazeti la alnur na radio imani ndiyo imekusukuma kupinga waraka huo kwakuwa tu ametajwa baba wa Taifa mwalimu Nyerere. Hata kama tumekuwa na maraisi watatu baada yake lakini hiyo haimuondolei sifa yake ya kuwa baba wa taifa.
 
Last edited by a moderator:
Ubalozi upi wa Marekani ulilipuliwa 1999 embu rekebisha hapo maana tunaanza kudoubt hicho chanzo chako
 
acha hii impate, hiimutu inachesea sirikali yeye inaona sirikali ni semeji yake.In short whether YOU like it or not HE IS A KILLER, let me be judged for that.HATUWATAKI WATU WA AINA HII KTK TZ YETU

Hapa nadhani hata Mohamed Said naye aangaliwe, maana analikuwa na anashabikia sana mambo ya kuwatenganisha WATZ kwa udini, nadhani pia alishiriki kutoa laana kwa Mwl.Nyerere. Ila namshukuru MUNGU huu mradi wa kuwatenganisha WATZ kwa udini, muda si mrefu unakufa, naomba wale mashabiki wao akina Ally Kombo, Ritz, FF na wengineo wakomit suicide porini kutokana na kushindwa kwa project hii
 
Joka kubwa la UGAIDI lenye vichwa vitatu hivi sasa limetanda kote nchini Tanzania; kichwa kimojawapo kikiwa Unguja, Jijini Dar es Salaam na Kigoma na moyo wake ukiwa Mombasa Kenya na mkia ukiwa umebakia bado katika magofu ya Fort Kismayu nchini Somalia.

Kilichoko njiani hivi sasa kuliteketeza kabisa joka hili; usiombe!!!!!!!!!!
 
Hadith! hadith!, hadithi Njoo uwongo kolea. Umejitahidi kutunga hadithi ya kufikirika lakin haiaminiki.
 
Back
Top Bottom