Ngiri na nguruwe lao moja.... i wouldnt take ya Lowassa wala Mwakyembe!!!
Hakuna kitu hapo,Mahojiano ya kupanga...hiyo ni danganya toto
Mwakyembe kaombwa afanye mdahalo na mpinzani mmoja kijana.
Akafurahi sana akidai mtu mwenyewe anaijua Kyela kutokea London.
Wengine wanaoweza kuleta upinzani kutokea Tanzania, wakina Mwamunyange, hata hawakuguswa.
Eti mwandishi kasahau.
Swali kako Mwanakijiji,
Mwakyembe kakubali kufanya mdahalo na wapinzani wake, je kina Mwakalinga na wenzake wako tayari?
Nimesikiliza mahojiano ya Mwakyembe na M.M nimepata moyo sana kwamba kumbe hakuna haja ya watanzania kukata tamaa, Dr ametupa moyo kwamba sio watanzania wote watumwa na sio wote walionunuliwa.Hongereni sana sana sana. Naomba tuwe strategic, namuomba Dr Mwakyembe kutumia uanasheria wangu kufanya linalowezekana kwa kutumia mahakama Tido atoke pale kabla ya uchaguzi, tunajua kikwete hana uwezo nalo kwa kuwa huyu bwana aliletwa na Lowassa huyo huyo.
Haya ni mahojiano feki.Mshindwe kwa jina ya Yesu..Utupu mtupu
...fuckken opinions, from a fuckken person!!!Wakati mjadala wa richmond unazikwa bungeni Mwakyembe alikuwa wapi? Mbona hakuinuka na kusema hiki hakiwezekani? Je mapendekezo ya kamati yalitekelezwa? Yeye mwenyewe Mwakyembe anajua wazi jinsi suala hilo lilivyo hatari kwake. Si lazima wampige risasi. Lakini wanaweza kumneglect na kumsahau. Cha msingi tuchange karata zetu vizuri, watu wote waelewe ni mabadiliko gani yanahitajika nchini, wampe kura Dr Slaa, basi. Ukiwa ndani ya system ya CCM usije ukadhani kuna uhuru kihivyo my friend.
Ripoti ya uchunguzi ya bunge haindikwi kama karatasi ya mashitaka ya mahakama. Karatasi ya mashitaka haibebi vidhibiti vyote vya yanayodaiwa kutokea, hayo yatakuja baadae maana hii ni kufungulia shauri tu. Ripoti ya Tume haifuatwi na kesi baadae, yenyewe ndio mwanzo wa yote na mwisho wa yote. Lazima ikamilike.
Mwakyembe anadai hakusema yote dhidi ya Lowassa kwa vile ripoti yao ilikuwa ni kama amemshutumu Mwanakijiji kwa kubaka, halafu Mwanakijiji kakiri kabaka, vidhibiti na ushahidi vya nini tena? Lowassa aliwajika.
Hii ni aibu kubwa, kwamba Mwakyembe msomi wa wasomi wa Tanzania hajui kuwa ripoti inayobeba mapendekezo ni lazima iwe kamili. Kuacha kuweka yote ni sawa na kuandika ripoti ya mauaji ya Kituo cha Biashara cha Dunia halafu usiseme Bin Laden alishiriki vipi kinaga ubaga, alijipenyeza vipi, n.k. eti unasubiri uone kama Bin Laden atabisha ndio uanike mengine.
Usiposema yote kuhusu kisanga kilichofanya utumwe kuandika ripoti, utawezaje kutushauri kwenye ripoti hiyo hiyo jinsi ya kufanya kuepuka majanga hayo mbeleni? Maana hatujui nini kilifanyika. Sijui anaelewa huyu Mwakyembe?