Mahojiano ya Dr. Mwakyembe juu ya Madai ya Lowassa...

Ngiri na nguruwe lao moja.... i wouldnt take ya Lowassa wala Mwakyembe!!!
 
Hakuna kitu hapo,Mahojiano ya kupanga...hiyo ni danganya toto

Hakuna mahojiano ambayo hufanywa bila miadi (schedule appointment), lazima mhojiwa ajue atahojiwa kuhusu nini, lakini haimaanishi kwamba atapewa specific questions in advance, anapewa subject ya interview.
 
Sounds nice. Nimezisikiliza hizo clips. Na nimeafiki kwamba Mwakyembe ni intelligent enough katika kutoa arguments. Nimeona katika kutoa maelezo yake sehemu kubwa anajaribu kuwasilisha hoja kama mawazo ya kamati na si yeye kama individual. Ukisikiliza maelezo haya halafu ukaisoma makala ya Mwanakijiji katika gazeti la Tanzania daima unapata kitu kamili. Katika hili nakubaliana na wengi kwamba Lowassa hasafishiki wala habebeki. Iwapo Kikwete ataamua kumpa nafasi kama ambavyo tayari wengi wetu wamenusa, itakuwa ni kwa ukaidi tu.

Kwa hilo ulilosema hapo juu hataweza kumpa nafasi maana tunakwenda kumyima yeye nafasi kwanza mwezi wa kumi.
 
Sasa Maswali uliyomuuliza Dr Mwakyembe, mbona hakuna utofauti na Mwaswali aliyoulizwa Lowassa na TBC. Unauliza mswali na wakati majibu unayo? au ni kampeni? shame!
We adui ya watu wa Kyela umefika na hapa?
Haya sasa sikiliza ukweli uende ukawaambie wanaokutuma nini kimezungumzwa. Zitatengenezwa Kada na cd na zitasambazwa Kyela yote.
Mtakoma mwaka huu.
 
Hakuna mahojiano ambayo hufanywa bila miadi (schedule appointment), lazima mhojiwa ajue atahojiwa kuhusu nini, lakini haimaanishi kwamba atapewa specific questions in advance, anapewa subject ya interview.


Mwakyembe kaombwa afanye mdahalo na mpinzani mmoja kijana.

Akafurahi sana akidai mtu mwenyewe anaijua Kyela kutokea London.

Wengine wanaoweza kuleta upinzani kutokea Tanzania, wakina Mwamunyange, hata hawakuguswa.

Eti mwandishi kasahau.
 

Mwakyembe kaombwa afanye mdahalo na mpinzani mmoja kijana.

Akafurahi sana akidai mtu mwenyewe anaijua Kyela kutokea London.

Wengine wanaoweza kuleta upinzani kutokea Tanzania, wakina Mwamunyange, hata hawakuguswa.

Eti mwandishi kasahau.

Afumae baharini ni papa kijana wangu....japo na samaki wengine wapo! Hata nchi silisoendedhea mdahadho ni wa wadhe bora tu.....
 

Mwakyembe kaombwa afanye mdahalo na mpinzani mmoja kijana.

Akafurahi sana akidai mtu mwenyewe anaijua Kyela kutokea London.

Wengine wanaoweza kuleta upinzani kutokea Tanzania, wakina Mwamunyange, hata hawakuguswa.

Eti mwandishi kasahau.

Mkuu maswali hujibiwa kulingana na lilivyoulizwa. Mwanakijiji alimuomba Dr. Mwakyembe kama yuko tayari kufanya mdahalo na ndugu yetu Mwakalinga. Dr. Mwakyembe amejibu kulingana na ombi lilivyotolewa.

Proposal ya Mwanakijiji ilikuwa based kwenye siasa za Kyela ambazo zimejadiliwa sana hapa JF. Wakati wa mjadala wa siasa za Kyela ilikuwa ni Mwakalinga vs Dr. Mwakyembe. Hakuna aliyekuwa anajua kwamba kuna wagombea wengine wangejitokeza.

Pia kumbuka kwamba mdahalo huo utasikilizwa na wanaoingia JF na sio wapiga kura wa Kyela, so Mwanakijiji anajaribu kuchokoza tu na kuona je kati ya hao 2 ambao wamejadiliwa sana hapa yupi anaonekana ana vision nzuri yenye kuleta maendeleo jimboni Kyela?

Mwisho wa siku mwenye hukumu ni mwananchi wa kawaida ambaye yuko jimboni Kyela na wala hajui hata kama kuna kitu kinaitwa KLH News au JF.
 
Na sasa hivi, unawajua huwajui waliojitokeza?

Siwajui hata mmoja, ninaowajua ni Mwakalinga kwa kuwa ni memba mwenzangu hapa na huwa ninabadilishana mawazo nae. Pia Mwakyembe kwa kuwa ni Mbunge ambaye anamaliza muda wake. Siwezi kuwajua wote wanaojitokeza kuomba kuteuliwa na practically ni ngumu kuwa na mdahalo wa wagombea zaidi ya 4.

Hata Marekani wakati wa primaries, midahalo huwa haianzi mpaka kwanza wagombea wapungue wakibaki pungufu ya wanne ndipo sasa wanapoweza kuwekwa kwenye mdahalo.
 
Back
Top Bottom