Jamaa ameachiwa huru ilikua ni mabox yaliyofanana na ya kura ndani yake hakukua na chochote na ni mshindi wa jimbo!!
mmh is this right au crap?
Jamaa ameachiwa huru ilikua ni mabox yaliyofanana na ya kura ndani yake hakukua na chochote na ni mshindi wa jimbo!!
Hivi mwenendo wa kura jimbo la Segerea iko je? Mwenye information yeyete tunaomba atufahamishe.
Huyu kasoma kwa kuungaunga. NABOCE---NAD----CPA---CSP----Msc. Finance (IFM)-------PhD(NHC)..(National Housig Corporation)