katika pita pita yangu nimekutana ni issue ya mahakimu wanafunzi (interns) wakiwa wanasikiliza Kessy
na hata kuitolea maamuzi (hukumu) baada ya kuisikiliza. mawali ninayojiuliza bila majibu
na hata kuitolea maamuzi (hukumu) baada ya kuisikiliza. mawali ninayojiuliza bila majibu
- Je ni sahihi kwa hakimu mwanafunzi kusikiliza kesy na kuifanyia maamuzi? Kama jibu ni Ndio nenda swali la pili na kama ni hapana nenda number 3
- Je wamekula kiapo?
- Je maamuzi waliofanya (hata kama ni chini ya usimamizi wa hakimu) je yana uhalali kisheria?
- Kama hawajaapishwa kisheria, je uhalali huo wameupata wapi?
- Wakati wanaendesha kesi, je watuhumiwa ama mlalamikaji atamuaddress kama hakimu (ieleweke bado ni mwanafunzi)?
- Je, kuna sheria yeyote inayowapa nguvu ama mamlaka kufanya ivyo? kama ipo ni ipi?
- Kama wafanyayo ni batili (null and Void) je kesi zilizoamuliwa na watu hawa zinaguvu kisheria?