Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,890
kuna jamaa dereva alikuwa anachuki na mahakimu kila siku ana drive nje ya mahakama ili akimuona hakimu amgonge, sa siku kampa lifti padri na kupita mahakamani mara hakimu huyu hapa, akataka kumgonga akakumbuka yuko na father ikabidi amkwepe. kuangalia sight mirror anamuona hakimu anagalagala anamwambia father mbona sijamgonga father akamjibu ulipo mkosa nika mbamiza na mlango!