mahakimu wanachukiwa

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,885
kuna jamaa dereva alikuwa anachuki na mahakimu kila siku ana drive nje ya mahakama ili akimuona hakimu amgonge, sa siku kampa lifti padri na kupita mahakamani mara hakimu huyu hapa, akataka kumgonga akakumbuka yuko na father ikabidi amkwepe. kuangalia sight mirror anamuona hakimu anagalagala anamwambia father mbona sijamgonga father akamjibu ulipo mkosa nika mbamiza na mlango!
 
Hahahahaha duh umefurahi kwa kweli!!
Sasa baba mchungaji nae amekosana nn na hakimu!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom