Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Wakati anadakia dakia (mahojiano) na kutokwenda na utaratibu wa mahakama, jaji alimwamuru askari kwa kumwambia: mpe chai. Yule mdakiaji akapigwa mkono m1 wa nguvu, akatulia. Baada ya mambo kumalizika, wakati wanatoka, yule askari naye alipigwa ganja zito na yule mdakiaji. Alipoulizwa kwanini amefanya vile, akajibu: bwan-jaji kasema mpewe chai, sasa mi nampa vyombovye akamrejeshee mwenyewe.