DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna watu Huwa wanasema ukioa mchaga ni sawa na kukaribisha jambazi nyumbani kwako.kupewa sumu ni nje nje.nimeanza kuamini maana matukio mengi sana ya wachaga kuua waume zao ili kurithi mali
 
Kumbe ikilalia upande huu ....ndio inakuwa sio haki....ila ikiwa upande wa fe....ni haki na kila mtu anasimama na kuisifu mahakama....wanaume tujitafakari sana usalama wetu unazidi kushuka sana...na cha kusikitisha ni kuwa wengi wetu ni wasaliti.
 
Kuna watu Huwa wanasema ukioa mchaga ni sawa na kukaribisha jambazi nyumbani kwako.kupewa sumu ni nje nje.nimeanza kuamini maana matukio mengi sana ya wachaga kuua waume zao ili kurithi mali
Huyo mwanamke Davis aliyemuoa kwani ni mchaga? Tena mswahili mndengereko kizuri alibadili dini na kuwa mkristo Yesu atamsamehe. Wewe nimsenge jinga kabisa huna tofauti na Accumen Mo na darcity.

Rejected human being.

Sayngay
 
Ngoma bado mtu akipeleka shauri mahakamani kajipanga kimtindo sio rahisi kudai mahakamani...Mosha kashtuka mchezo ila ajipange hata miaka 5 wanaweza kusumbuana mahakamani.

Mwanamke akidai mali kadhamiria sio kitoto hapo balaa tupu.
Kama anafunds za kutosha na yuko well documented 😂😂, na kitu huyo mzee ameshasanuka mapemaaa...
 
This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.

Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Yapo, mengine ni madogo ila yanakufanya uwe alert
 
Kwani shida ipo wap?

While a marriage is still subsisting a partner may own a property separately..!

Sasa hapo ni suala la ushahid tu wa namna mali zilivopatikana.

Anaedai kuna co-owneship alete ushahid, vingnevyo sion kama mahakam imekosea.

Nadhan ukisoma kesi ya Bi Hawa Mohammed utaelewa vizur.
 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.

Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.

Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.

Je hii ni sawa?

==========
MAAMUZI YA MAHAKAMA
  • Ndoa kati mlalamikaji na mlalamikiwa imevunjwa na talaka imetoka.
  • Hakuna mali zilizopatikana kwa pamoja kwenye ndoa.
  • Uangalizi wa mtoto Daniela Davis Mosha unakuwa chini ya mlalamikaji(Baba)
  • Mdaiwa anapewa ruhusa ya kuwa na mtoto kipindi cha likizo na siku yenye nafasi kwa mtoto
  • Mdaiwa amekatazwa kutumia jina la mlalamikaji Davis Mosha na amerejeshewa majina yake ya awali
  • Kila mmoja atabeba gharama za kesi

View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Haki ya Mtu huwa haipotei bali hucheleweshwa tu
 
Kitu kinachoendelea kumlinda na kumsaidia Mfanyabiashara Kipenzi Cha watu DavisMosha Ni Ile Hali yake ya Upendo kwa Yatima, wajane na Kusaidia kila ambaye amemfikia, Huyu Nancy atahangaika Sana, atapata Taabu Sana na Mauchawi yake, maumalaya yake, Ujinga wake, upumbavu na kujiona, ameiba, amesamehewa Siku nyingii hasikii aache kushindana na MBINGU, Kabisa ataangukia Poa....Mjinga Sana Nancy, Hapa JamiiForum Ni Mahakamani kweli, mshamba Sana.
mke mwenza wa Nancy umekomafua mwenzio kwenye huu uzi
 
Sio kwa mida hii ya mitandao ya kijamii, zile posti zake zote ni evidence....
Ngoja tuone....
 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.

Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.

Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.

Je hii ni sawa?

==========
MAAMUZI YA MAHAKAMA
  • Ndoa kati mlalamikaji na mlalamikiwa imevunjwa na talaka imetoka.
  • Hakuna mali zilizopatikana kwa pamoja kwenye ndoa.
  • Uangalizi wa mtoto Daniela Davis Mosha unakuwa chini ya mlalamikaji(Baba)
  • Mdaiwa anapewa ruhusa ya kuwa na mtoto kipindi cha likizo na siku yenye nafasi kwa mtoto
  • Mdaiwa amekatazwa kutumia jina la mlalamikaji Davis Mosha na amerejeshewa majina yake ya awali
  • Kila mmoja atabeba gharama za kesi

View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Masikiniii rohooo yanguu mm rohooo yanguuu m kuchapiwa n siri ya ndani nikoo pale kwa tarimoooo
 
Back
Top Bottom