Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Then kosa lenye hukumu kubwa hapo ni miaka 5 so hukumu ya makosa inakwenda kwa pamoja!
Naomba confirmation ya miaka waliohukumiwa maana nimepata source nyingine inasema wamehukumiwa miaka mitano (5) kila mmoja.