Mkuu maswali mengi ya kujiuliza hapo ina maana ni wenyewe tu ndio walichota hizo hela au vipi????
Sasa hayo ya chadema yamefikaje hapa.
mbona michache sana.........wangefungwa maisha kabisa
Toka lini chadema wakawatetea mafisadi kama nikuonewa ni kwanini wawe peke yao wengine inaishiaje! acha upumbavu wako wewe!I hope ni habari za kweli
CHADEMA watanasema hao jamaa wameonewa
What a shame kwa Chama kama Chadema , angehukumiwa Chenge na Lowasa pia wangesema wanaonewa na Kikwete
Damned if do damned if you dont!!
mbona michache sana.........wangefungwa maisha kabisa
I take it as a start towards the right direction away from Impunity....let's wait and see...
I hope ni habari za kweli
CHADEMA watanasema hao jamaa wameonewa
What a shame kwa Chama kama Chadema , angehukumiwa Chenge na Lowasa pia wangesema wanaonewa na Kikwete
Damned if do damned if you dont!!
Jumla maana yake ni kwa kila shitaka linalowakabili. Ina maana kama walikuwa na mashitaka 5 waliyotiwayo hatiani ina kuwa kosa 1 miaka 3 kosa la pili mwaka mmoja and so! Kuna kipengele kinasema (labda maana sikuwepo mahakamani) hukumu ya makosa hayo inakwenda kwa pamoja! Ukija kupiga hesabu labda hukumu kubwa ni miaka 3 theni watakaa miaka mitatu gerezani halafu msamaha wa rais au kamati ya parole ikawpunguzia! who knows!Nini maana ya Jumla? Je ina maana kila mmoja amefungwa miaka 11 jela?
Atakuwa anachuki tu na kikwete ameonewa hajaiba pesa (Sarcastic)