MeanMan
Member
- Jan 27, 2012
- 52
- 13
Hivi kwako wewe injili na biblia ni sawa sawa? Qur'an inatambua injili, zaburi na torati lakini sio biblia. Je vitabu hivyo vipo? Au kuna biblia ambayo imejaa maelezo ya waandishi na baadhi ya maneno yaliyo katika vitabu hivyo? Hivi injili halisi ya Yesu au Zaburi au Torati katika lugha yake ya asili umewahikuviona? Ndugu tafakari kisha chukua hatua. Haki Elimuuuuuu!!!!!! Duh duh!!!